1. Mkiwa porini (e.g kuokota kuni) wingu kubwa likitanda kama mvua inataka kunyesha, atafutwe mtoto wa mwisho na mumfunge kamba kidole chake cha mwisho na mvua haitanyesha hadi mumfungue
2. Ukitwanga na mtwangio chini, mbingu Zitaanguka
3. Ukikalia kinu halafu ukajamba, utapata kifafa
4. Ukionyesha kidole kwenye makaburi lazima uking'ate, la sivyo hakitakunjika tena na kubaki kimenyoka hivohivo