kingfish
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 571
- 159
Nitapendekeza kufuta vyeo vya wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya na maafisa tarafa.vyeo hivi ni mzigo kwa serikali na vinaleta mgongano kiutendaji na ngazi nyingine,kwa mfano kuna mkuu wa wilaya na mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya,mkurugenzi ndiye msimamizi wa shughuli zote za maendeleo katika wilaya akisaidiwa na baraza la madiwani.sielewi mkuu wa wilaya anafanya nini zaidi ya kuambiwa na kuaminishwa kuwa yeye ni msimamizi wa usalama katika wilaya.pia napendekeza kuwa kuwe na "limit" ya idadi ya wizara,rais asiwe na mamlaka ya kuongeza wizara.