G.T.L
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 773
- 1,247
Katika kipindi hiki cha tuhuma za wabunge kuhusishwa na kashfa ya rushwa,hususani wabunge wa CCM(kwa wingi wanaosadikiwa),Endapo wakithibitika kupokea rushwa.Ni Ukweli usiopingika kwamba.....
*
1.Wakifukuzwa uanachama wa CCM ambapo ni dhahiri watapoteza sifa za kuendelea kua wabunge,CCM itakua matatani kupoteza majimbo ambayo uchaguzi utafanyika.
*
2.Wasipowafukuza ni ukweli usiopingika kwamba CCM itazidi kupoteza zaidi imani kwa wananchi ambapo 2015 itakua njia laini zaidi kwa upinzani kuchukua majimbo mengi zaidi.
Hii haitaji ata ushabiki wa kisiasa ni kutumia common sense kusoma nyakati.
*
1.Wakifukuzwa uanachama wa CCM ambapo ni dhahiri watapoteza sifa za kuendelea kua wabunge,CCM itakua matatani kupoteza majimbo ambayo uchaguzi utafanyika.
*
2.Wasipowafukuza ni ukweli usiopingika kwamba CCM itazidi kupoteza zaidi imani kwa wananchi ambapo 2015 itakua njia laini zaidi kwa upinzani kuchukua majimbo mengi zaidi.
Hii haitaji ata ushabiki wa kisiasa ni kutumia common sense kusoma nyakati.