NATAMANI KUONGEA UKWELI ILA NAHOFU KUNA WATU WATANICHUKIA HUMU NDANI
HEBU ANGALIA MAISHA YA HUYU KIJANA MWENZETU KUTOKA MOSHI VIJIJINI AMBAYE ALIKUWA NI MWANAFUNZI MWENZETU KATIKA CHUO CHA KILIMO SUA .
Naanza kufunguka ishu ipo hivii, ninavyokumbuka jamaa alikuwa mwaka wa pili nilipopata taarifa zake kuhusu jambo hili, inasemekana jamaa yeye ndiye aliyeonesha moyo wa dhati kumsaidia mwanadada mmoja ambaye alionekana kukichukia sana chuo kutokana na kutofanya vizuri katika mitihani yake awapo hapa chuoni. Dodoso zinaonesha ya kwamba mshikaji alikuwa anapata mkopo asilimia mia moja na huyu mwanadada yeye alikuwa anapata asilimia arobaini au thelathini hivi, sasa ndio naanza stori, Inasemekana jamaa alijitolea kwa moyo wote kumsaidia mwanadada huyu kutokana na roho nzuri aliyopewa na Bwana(MUNGU), Jamaa yeye ni mlokole safi aliyefanikiwa kumvuta mwanadada huyu kutoka katika dini yake ya kiislam na kujiunga nae katika dini ya ulokole . NYIE MNAOKWENDA KUANZA CHUO MNATAKIWA KUFUATA KILE KILICHOWAFANYA TCU WAWAJUE LA SIVYO MTANICHUKIA NA HIZI STORI ZANGU .Inasemekana huyu jamaa baada ya kuishi na mwanadada huyu kwa muda wa kama miezi mtatu na kuona maendeleo yake katika masomo na pia dini ni mazuri ndipo mawazo ya kumtongoza mwanadada huyu yalipo ingilia kati, kwa mujibu wa neno la bwana mwende duniani mkajaze dunia, ombeni nanyi mtapewa na maneno mengine mengi yakatawala katika discussion zao za masomo yaani nyie tumkemee sana shetani huyu mwaribu malengo ya wengi..Basi ishu ninayoikumbuka baada ya hapo ni kwamba jamaa nadhani alikubaliwa ombi lake la kuwa mchumba na siyo tena rafiki, wapendwa katika bwana waliendelea kumsifu bwana na hatimaye malengo ya ndoa yakatawala tena katika discussion zao za masomo . Mambo yakawa mambo pale nilipoanza kupewa stori hii na wadau wa rumu kwangu eti mshikaji mlokole anayetaka mchango wa harusi ndiye huyu aliyetoka humu ndani muda si mrefu. Mzee wa kudodosa nikaanza kudodosa dodosa, CHUOOOO! RAHAAA! UTAMU YAANI KAMA UBONGO HAUFANYI KAZI UTAJUUTA TCU KUKUCHAGUA UJE CHUO .Basi bwana si unajua tena ukishaonja asali utatafuta mzinga ili ule asali yote ya nyuki warukao..Jamaa ile bumu limengia tu akazama mlimani city jijini Dar es Salaam kununua pete ya uchumba dodoso zinasema ilikuwa inauzwa 150,000/= ila jamaa alichukua kwa 100,000/= Basi nakumbuka hiyo siku nipo zangu rumu navuta msuli ndipo mshikaji wetu flani tunamwita kwa fujo DJZ alipoingia rumu huku akipiga kelele huku akisema mambo! Mambo! Hadharani mlokole avuta jiko rasmi leo! Supriiiiize wote twendeni mkale! Mkanywe! Hadi mkufe ha !ha!ha!...Wapenda kula tukaunga tela .USIOMBEE BUMU LIKUWASHE ALAFU UWE HUNA AKILI YAKUWEZA KUJIKUNA UTATAMANI UHAMIE HESLB..Kweli bwana jamaa alikuwa anamfanyia suprize mpendwa mwenzie katika Bwana, wale mabingwa wakunywa tulikunywa, tulikula huku kwa mbaaaaali tukiburudishwa na wimbo wa flora mbasha ule wa adam unaoimba masuala ya ndoa ndoa mi kuimba sijiui, baadaye kila mtu kivyake vyake rumu kwake .. Ninachokumbuka ni kile kipindi cha graduation yao ile siku ambayo jamaa alitamani apae mbinguni kama Yesu, Ilitokea njemba moja imejaziajazia kisha ikampa zawadi shemu wetu na kumpiga mabusu yakutosha si ndio hapo jamaa akaja juu( wazee wa dodoso tukajisogeza karibu ili tupate cha kuropoka rumu),:Wife kuna nini hapa kinachoendelea?( Jamaa mlokole aliuliza).. shemu wetu akawa anatetemeka utadhani kapigwa shoti ya umeme MWISHO WA SIKU WAZEE WA DODOSO TUKAINGILIA KATI KUMPA KAMPANI MLOKOLE ILA KILICHOTUPATA NI SIRI YETU KILA MTU ALIUGULIA KIVYAKE VYAKE RUMU KWAKE NA KITANDA CHAKE .Aaagh! mademu wa chuo siyo wala nini! mambo gani sasa amemfanyia mlokole wetu siyo ishu
na vimaneno vingine vingi vilisikika kwenye kila rumu baada ya graduation kumalizika. MKE WA MTU SUMU
UJUMBE: HAKUNA TRUE LOVE AT UNIVERSITY LEVEL ILA UKITAKA KUPROVE JARIBU .
***************MWISHO WA STORI*******************
METHALI: 1. dear dear ..
JIBU: bumu likitoka
:2. I hate you I hate you ..
JIBU: bumu likiisha
JAMANI EEEEE! TUKASOME HAYA MAMBO YAPO TU KAMA UMEMKOSA WA UKWELI FORM FOUR, FORM SIX UTAMPATA KWELI CHUO? LABDA UWE KATIKA MTANDAO WA WENGI NA UJIANDAE NA KUMPOKEA MGENI STRESS NA MAGONJWA YA ZINAA
HEBU ANGALIA MAISHA YA HUYU KIJANA MWENZETU KUTOKA MOSHI VIJIJINI AMBAYE ALIKUWA NI MWANAFUNZI MWENZETU KATIKA CHUO CHA KILIMO SUA .
Naanza kufunguka ishu ipo hivii, ninavyokumbuka jamaa alikuwa mwaka wa pili nilipopata taarifa zake kuhusu jambo hili, inasemekana jamaa yeye ndiye aliyeonesha moyo wa dhati kumsaidia mwanadada mmoja ambaye alionekana kukichukia sana chuo kutokana na kutofanya vizuri katika mitihani yake awapo hapa chuoni. Dodoso zinaonesha ya kwamba mshikaji alikuwa anapata mkopo asilimia mia moja na huyu mwanadada yeye alikuwa anapata asilimia arobaini au thelathini hivi, sasa ndio naanza stori, Inasemekana jamaa alijitolea kwa moyo wote kumsaidia mwanadada huyu kutokana na roho nzuri aliyopewa na Bwana(MUNGU), Jamaa yeye ni mlokole safi aliyefanikiwa kumvuta mwanadada huyu kutoka katika dini yake ya kiislam na kujiunga nae katika dini ya ulokole . NYIE MNAOKWENDA KUANZA CHUO MNATAKIWA KUFUATA KILE KILICHOWAFANYA TCU WAWAJUE LA SIVYO MTANICHUKIA NA HIZI STORI ZANGU .Inasemekana huyu jamaa baada ya kuishi na mwanadada huyu kwa muda wa kama miezi mtatu na kuona maendeleo yake katika masomo na pia dini ni mazuri ndipo mawazo ya kumtongoza mwanadada huyu yalipo ingilia kati, kwa mujibu wa neno la bwana mwende duniani mkajaze dunia, ombeni nanyi mtapewa na maneno mengine mengi yakatawala katika discussion zao za masomo yaani nyie tumkemee sana shetani huyu mwaribu malengo ya wengi..Basi ishu ninayoikumbuka baada ya hapo ni kwamba jamaa nadhani alikubaliwa ombi lake la kuwa mchumba na siyo tena rafiki, wapendwa katika bwana waliendelea kumsifu bwana na hatimaye malengo ya ndoa yakatawala tena katika discussion zao za masomo . Mambo yakawa mambo pale nilipoanza kupewa stori hii na wadau wa rumu kwangu eti mshikaji mlokole anayetaka mchango wa harusi ndiye huyu aliyetoka humu ndani muda si mrefu. Mzee wa kudodosa nikaanza kudodosa dodosa, CHUOOOO! RAHAAA! UTAMU YAANI KAMA UBONGO HAUFANYI KAZI UTAJUUTA TCU KUKUCHAGUA UJE CHUO .Basi bwana si unajua tena ukishaonja asali utatafuta mzinga ili ule asali yote ya nyuki warukao..Jamaa ile bumu limengia tu akazama mlimani city jijini Dar es Salaam kununua pete ya uchumba dodoso zinasema ilikuwa inauzwa 150,000/= ila jamaa alichukua kwa 100,000/= Basi nakumbuka hiyo siku nipo zangu rumu navuta msuli ndipo mshikaji wetu flani tunamwita kwa fujo DJZ alipoingia rumu huku akipiga kelele huku akisema mambo! Mambo! Hadharani mlokole avuta jiko rasmi leo! Supriiiiize wote twendeni mkale! Mkanywe! Hadi mkufe ha !ha!ha!...Wapenda kula tukaunga tela .USIOMBEE BUMU LIKUWASHE ALAFU UWE HUNA AKILI YAKUWEZA KUJIKUNA UTATAMANI UHAMIE HESLB..Kweli bwana jamaa alikuwa anamfanyia suprize mpendwa mwenzie katika Bwana, wale mabingwa wakunywa tulikunywa, tulikula huku kwa mbaaaaali tukiburudishwa na wimbo wa flora mbasha ule wa adam unaoimba masuala ya ndoa ndoa mi kuimba sijiui, baadaye kila mtu kivyake vyake rumu kwake .. Ninachokumbuka ni kile kipindi cha graduation yao ile siku ambayo jamaa alitamani apae mbinguni kama Yesu, Ilitokea njemba moja imejaziajazia kisha ikampa zawadi shemu wetu na kumpiga mabusu yakutosha si ndio hapo jamaa akaja juu( wazee wa dodoso tukajisogeza karibu ili tupate cha kuropoka rumu),:Wife kuna nini hapa kinachoendelea?( Jamaa mlokole aliuliza).. shemu wetu akawa anatetemeka utadhani kapigwa shoti ya umeme MWISHO WA SIKU WAZEE WA DODOSO TUKAINGILIA KATI KUMPA KAMPANI MLOKOLE ILA KILICHOTUPATA NI SIRI YETU KILA MTU ALIUGULIA KIVYAKE VYAKE RUMU KWAKE NA KITANDA CHAKE .Aaagh! mademu wa chuo siyo wala nini! mambo gani sasa amemfanyia mlokole wetu siyo ishu
na vimaneno vingine vingi vilisikika kwenye kila rumu baada ya graduation kumalizika. MKE WA MTU SUMU
UJUMBE: HAKUNA TRUE LOVE AT UNIVERSITY LEVEL ILA UKITAKA KUPROVE JARIBU .
***************MWISHO WA STORI*******************
METHALI: 1. dear dear ..
JIBU: bumu likitoka
:2. I hate you I hate you ..
JIBU: bumu likiisha
JAMANI EEEEE! TUKASOME HAYA MAMBO YAPO TU KAMA UMEMKOSA WA UKWELI FORM FOUR, FORM SIX UTAMPATA KWELI CHUO? LABDA UWE KATIKA MTANDAO WA WENGI NA UJIANDAE NA KUMPOKEA MGENI STRESS NA MAGONJWA YA ZINAA