Mtondoli
Member
- Nov 9, 2021
- 70
- 174
CHADEMA ninayoijua Mimi sio hii iliyopo Sasa,naweza kusema bila ya Shaka yoyote kuwa chadema ya Sasa ni waoga Sana,Chadema ingekuwa inajipanga kimkakati Leo ccm ingekuwa haipo madarakani,,nakupa Mambo kumi yanayoiua chadema Kila mwaka,.
(1) Hawaandai vijana watakaokuwa nguzo ya chama baadae hata wakiwaandaa ukifika uchaguzi wanawatupa na kuwaokota mamluki wa CCM
(2) Hawaandai Sera ya chama madhubuti Ila Kila mtu ni msemaji, kumtukana Kila mtu anaejaribu kutoa maoni tofauti na chama Chao, bila kujua mpiga kura huwa anabadilika kulingana na Sera za wakati uliopo, siasa Haina adui wa kudumu Wala rafiki wa kudumu
(3) Ni ile tabia ya akija mgeni kutoka chama tawala wako tayari kuharibu systeam yote na hata kukosana na wazawa kwa ajili ya mabwanyenye wa CCM wenye uroho wa madaraka wakikosa huku wanataka waje huku.
(4) Wameshindwa kuwahandle wafadhili wa chama na kusimamia Mali za Chama kiasi Cha kukosa hata ofisi nzuri yenye hadhi ya chama
(5) Magari ya chama baada ya uchaguzi yanabaki niyamatumizi ya kawaida badala ya kwenda mikoani kujenga chama,igeni mfano wa chama kigeni nchini uganda nup chini ya Bobi Wine hakina hata miaka mitano kinaofisi ya kisasa Sana.
Kwa leo niishie hapa nb mimi sio mwanachama wa chama chochote hapa nchini
(1) Hawaandai vijana watakaokuwa nguzo ya chama baadae hata wakiwaandaa ukifika uchaguzi wanawatupa na kuwaokota mamluki wa CCM
(2) Hawaandai Sera ya chama madhubuti Ila Kila mtu ni msemaji, kumtukana Kila mtu anaejaribu kutoa maoni tofauti na chama Chao, bila kujua mpiga kura huwa anabadilika kulingana na Sera za wakati uliopo, siasa Haina adui wa kudumu Wala rafiki wa kudumu
(3) Ni ile tabia ya akija mgeni kutoka chama tawala wako tayari kuharibu systeam yote na hata kukosana na wazawa kwa ajili ya mabwanyenye wa CCM wenye uroho wa madaraka wakikosa huku wanataka waje huku.
(4) Wameshindwa kuwahandle wafadhili wa chama na kusimamia Mali za Chama kiasi Cha kukosa hata ofisi nzuri yenye hadhi ya chama
(5) Magari ya chama baada ya uchaguzi yanabaki niyamatumizi ya kawaida badala ya kwenda mikoani kujenga chama,igeni mfano wa chama kigeni nchini uganda nup chini ya Bobi Wine hakina hata miaka mitano kinaofisi ya kisasa Sana.
Kwa leo niishie hapa nb mimi sio mwanachama wa chama chochote hapa nchini