witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,103
Asante sana mkuuWaweza kufunga kuanzia siku 7 kama afya yako inaruhusu, lakini kama kama hauko sawa kiafya funga hata siku moja, na siku hiyo jitakase kweli kweli shinda ukiongea na mungu wako kuhusu shida yako,omba ujazo wa roho mtakatifu ndani yako akuongoze njia zako zote, usimkwaze mtu yeyote, samehe toka moyoni woote waliokukosea, kuhusu sadaki toa chochote kinachokuuma| kwa maana kama una elfu kumi ukitoa mia tano haiwezi kukuuma, lakini pia waweza wapelekea mama wajane na watoto yatima mahitaji yao kulingana na uwezo wako.
Kwa watoto yatima ntawapata je wajane nawapata wapi?
Na hiyo sala ya toba ni ipi mkuu
Samahani kwa maswali mengi