soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Haaahaaa
Nitakuja inbox na toba hukohuko
Haaahaaa
Lete kimoja kimojAAisee nina visa vingi sana. Mungu anatenda.
Aisee nina visa vingi sana. Mungu anatenda.
Karibu TenaKweli looong time, appreciate mama
DuhKubet alafu imebaki game mojA tu mkeka utiki, dakika ya 90 goli linapatikana...boom bet woooon
AmenNilikuwa nafuatilia uhamisho wa mdogo wangu aliyepangwa Advance, nilienda Tamisemi mara mbili na sikufanikiwa ilikuwa imebaki siku tatu shule zifunguliwe, Tamisemi wakanijibu kuwa uhamisho hujafanikiwa itabidi mwanafunzi aripoti shule aliyopangiwa! Nilipiga magoti nikamuomba Mungu, kisha nikasali sala ya Bwana, baada ya nusu saa Tamisemi walinijibu kuwa uhamisho umepatikana!!
Nilikuwa chooni, bado mtoto mdogo miaka nane hivi, baada ya kumaliza kukata gogo nafungua maji bombani holaa!! Nikafunga bomba alafu nikamuomba Mungu, baada ya sala nikafungua tena, maji hayoooo......HAKUNA ZAIDI YA MUNGU.
Aisee, upo mama?Halafu hapohapo na muda huo huo anakushawishi n wewe uende ukamege kimasihara teh teh
Nipo best yangu, uko poa aseeAisee, upo mama?
Umemisika wewe kiumbeNipo best yangu, uko poa asee
AmenMe kwenye kazi zangu za umeme Mungu huwa ananisaidia sana.....unakuta kuna fault nahangaika nayo sipati majibu lakin nikifunga macho tu na kusali Mungu ananionyesha fasta....nmegundua dhambi zetu ndo zinatuweka sana mbali na Mungu lakin daima yupo kwaajili yetu!
Niko poa asee best, nina mwaka sijakuona humu. Nice to "see you" tena!Nipo best yangu, uko poa asee
Safi sana, nimefurahi kukuta salamaNiko poa asee best, nina mwaka sijakuona humu. Nice to "see you" tena!
Haaahaaa....na wewe umerudinimekumiss pia wanguUmemisika wewe kiumbe
Haaahaaa....na wewe umerudinimekumiss pia wangu