Mambo gani umewahi kumuomba Mungu na akakujibu papo hapo?

Nilitofautiana na mke Wangu na yeye kurudi kwao... nikakaa miezi kama sita hivi kuomba kupatana na akasema niende tukutune sehemu... nikajua basi mambo freshi... nikakata ticket ya ndege kwenda kumuona... Nikiwa ndani ya ndege na milango imefungwa, Mara mke wangu ( tuliyetengana) akatuma txt kusema hataki tena tuonane... nikamwambia niko ndani ya ndege , milango imefungwa na siwezi ahirisha safari.
Gafla akazima simu na pia kuniblock... Nikaona isiwe tabu... nikaendelea na safari hadi mwisho. Nikafika na kwenda hotelini mbali kabisa na nyumbani kwao na ambako sikumtaatifu...
Nikiwa hotelini Usiku mimi Mwenyewe Saa 9 usiku nikaamka...moyoni Kwangu nikawaza, sasa nimekuja na kilicho nileta sijakipata... asabuhi nitarudi zangu airport na basi talaka nitampa...
Nikajiuliza, ni nini haswa sijakifanya , Mara wazo likaniijia, sara...sasa nikasema, nisari sara gani ambayo Mungu atanijibu... sikujua... Nikaanza ku- google, zikawepo Sara nyingi... nilipo anza kuchagua Mojawapo na kuanzia kuisari nikahisi sina connection na ninacho kisari... nikapitiwa na usingizi, nilipokuwa ninelala nikaota kwamba nisari tena. Swali likaja ndotoni, sara gani...jibu likawa... Mungu ni baba kama baba yangu na pia ni mwenye huruma kama mama yangu...siku za utotoni, ili nimuombe baba pesa , nilikuwa either napitia kwa mama au directly . Sasa nikawaza, nitatumia njia ya direct kuongea na Mungu directly .
Nikaamuka toka usingizini, nikaa kitandani... ndani ya hotel ile kulikuwa na kabati kubwa . Nikaliangaliwa na kikahisi hofu fulani hivi... basi nikajisemezea mwenyewe huku nikiliangilia kabati like na kusema maneno haya, “ ewe Mungu, najua umo ndani yangu kama nguo zilivyo ndani ya kabati hilo. Waijua nafsi yangu na kila kilichomo ndani yangu, wajua pia ni nini kilicho nileta hapa na chanzo cha mimi kutengana na mke wangu, wazo la kupatanishwa pia lilikuja tu kichwani kama jua la asubuhi... nisamehe nilipokukosea na mapenzi yako yatimie kwa namna itakavyo kukupendeza.”
Hiyo ilikuwa kama saa 10 alfajili hivi... baada ya hapo nikalala tena na asubuhi nikarudi tena airport ...kufika aitport, ndege hakuna - cancelled hadi kesho yake...nikaamua kutafuta hotel Nyingine, hii ilikuwa saa 5 asubuhi yake... sasa nikajisemea... hotel nyingi check in ni saa nane, Hebu ngoja nitafute sehemu nipate chakula cha mchana... nikaipata restaurant - nikala chakula. Baada ya kula na kulipia nikaanza safari ya kurudi hotelini huku nikisema moyoni, usiku ule nilijihisi siko pekee na nikasari . Niliyemwomba ni baba aliye ndani ya mwili wangu, iweje anichunie hivi bila majibu? Mke wangu kani- block na simu kazima , hata kama mimi ni mkosaji , nikijirudu na kumuomba baba yangu huwa anasikiliza kilio changu...
Gafla bin vuu namuona mke wangu mbele yangu ... sote tukapatwa na msituko wa ganzi na tukasimana bila kuongea neno kwa dakika 3 hivi tunaangaliana tu ...
Baada ya hapo nikaamuliza, vipi ulikuwa unanifuatilia? Akajibu hapana, nilikuwa njiani kuelekea kanisani misa ya mchana... akaniuliza na wewe...nikamueleza story ndefu ... kama yuko tayari tutaongea baada ya kanisa lake... akasema sawa, nisubiri hapa hapa nitarudi baada ya saa moja...
Kweli akaenda na baada ya saa moja akarudi... nikamwambia twende restaurant, akagoma...akasema tu tutembee kwenye bustani huku takaongee... basi tukaenda...
Tukaongea mambo mengi, gafla bin vuu, vikongwe wawili wakapita mbele yetu sisi tukiwa tumekaa benchi... mmojapo akasema, ”you reminded us the good old days ...”
basi mimi na mke wangu tulipatana na tukaa tangu saa 9 mchana hadi saa 9 usiku kwenye bench hilo bila kuondoka...
ndege yangu ilikuwa saa 2 asubuhi...mke wangu tukarudi sote . Ni Miaka 15 toka siku hiyo hadi sasa tupo pamoja na wenye Furaha na watoto 3.
Tokea siku hiyo, nilijufunza na namna ya kuongea na Mungu. Na tangu siku hiyo , nikiomba kwa style ile, huwa najibiwa haraka Sana... na nime- conclude , sara si lazima kuomba hadi magoti yachubuke...ni style ya uombaji na namna unavyomleta Mungu karibu nafsini kwako...

sahamani -ilikuwa ndefu...
Very interesting

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila samahani mpendwa; mimi nimemfurahia Mungu kwa ajili yenu. Ila naomba u-edit kwenye hizo sara/kusari ni sala/kusali
Nilitofautiana na mke Wangu na yeye kurudi kwao... nikakaa miezi kama sita hivi kuomba kupatana na akasema niende tukutune sehemu... nikajua basi mambo freshi... nikakata ticket ya ndege kwenda kumuona... Nikiwa ndani ya ndege na milango imefungwa, Mara mke wangu ( tuliyetengana) akatuma txt kusema hataki tena tuonane... nikamwambia niko ndani ya ndege , milango imefungwa na siwezi ahirisha safari.
Gafla akazima simu na pia kuniblock... Nikaona isiwe tabu... nikaendelea na safari hadi mwisho. Nikafika na kwenda hotelini mbali kabisa na nyumbani kwao na ambako sikumtaatifu...
Nikiwa hotelini Usiku mimi Mwenyewe Saa 9 usiku nikaamka...moyoni Kwangu nikawaza, sasa nimekuja na kilicho nileta sijakipata... asabuhi nitarudi zangu airport na basi talaka nitampa...
Nikajiuliza, ni nini haswa sijakifanya , Mara wazo likaniijia, sara...sasa nikasema, nisari sara gani ambayo Mungu atanijibu... sikujua... Nikaanza ku- google, zikawepo Sara nyingi... nilipo anza kuchagua Mojawapo na kuanzia kuisari nikahisi sina connection na ninacho kisari... nikapitiwa na usingizi, nilipokuwa ninelala nikaota kwamba nisari tena. Swali likaja ndotoni, sara gani...jibu likawa... Mungu ni baba kama baba yangu na pia ni mwenye huruma kama mama yangu...siku za utotoni, ili nimuombe baba pesa , nilikuwa either napitia kwa mama au directly . Sasa nikawaza, nitatumia njia ya direct kuongea na Mungu directly .
Nikaamuka toka usingizini, nikaa kitandani... ndani ya hotel ile kulikuwa na kabati kubwa . Nikaliangaliwa na kikahisi hofu fulani hivi... basi nikajisemezea mwenyewe huku nikiliangilia kabati like na kusema maneno haya, “ ewe Mungu, najua umo ndani yangu kama nguo zilivyo ndani ya kabati hilo. Waijua nafsi yangu na kila kilichomo ndani yangu, wajua pia ni nini kilicho nileta hapa na chanzo cha mimi kutengana na mke wangu, wazo la kupatanishwa pia lilikuja tu kichwani kama jua la asubuhi... nisamehe nilipokukosea na mapenzi yako yatimie kwa namna itakavyo kukupendeza.”
Hiyo ilikuwa kama saa 10 alfajili hivi... baada ya hapo nikalala tena na asubuhi nikarudi tena airport ...kufika aitport, ndege hakuna - cancelled hadi kesho yake...nikaamua kutafuta hotel Nyingine, hii ilikuwa saa 5 asubuhi yake... sasa nikajisemea... hotel nyingi check in ni saa nane, Hebu ngoja nitafute sehemu nipate chakula cha mchana... nikaipata restaurant - nikala chakula. Baada ya kula na kulipia nikaanza safari ya kurudi hotelini huku nikisema moyoni, usiku ule nilijihisi siko pekee na nikasari . Niliyemwomba ni baba aliye ndani ya mwili wangu, iweje anichunie hivi bila majibu? Mke wangu kani- block na simu kazima , hata kama mimi ni mkosaji , nikijirudu na kumuomba baba yangu huwa anasikiliza kilio changu...
Gafla bin vuu namuona mke wangu mbele yangu ... sote tukapatwa na msituko wa ganzi na tukasimana bila kuongea neno kwa dakika 3 hivi tunaangaliana tu ...
Baada ya hapo nikaamuliza, vipi ulikuwa unanifuatilia? Akajibu hapana, nilikuwa njiani kuelekea kanisani misa ya mchana... akaniuliza na wewe...nikamueleza story ndefu ... kama yuko tayari tutaongea baada ya kanisa lake... akasema sawa, nisubiri hapa hapa nitarudi baada ya saa moja...
Kweli akaenda na baada ya saa moja akarudi... nikamwambia twende restaurant, akagoma...akasema tu tutembee kwenye bustani huku takaongee... basi tukaenda...
Tukaongea mambo mengi, gafla bin vuu, vikongwe wawili wakapita mbele yetu sisi tukiwa tumekaa benchi... mmojapo akasema, ”you reminded us the good old days ...”
basi mimi na mke wangu tulipatana na tukaa tangu saa 9 mchana hadi saa 9 usiku kwenye bench hilo bila kuondoka...
ndege yangu ilikuwa saa 2 asubuhi...mke wangu tukarudi sote . Ni Miaka 15 toka siku hiyo hadi sasa tupo pamoja na wenye Furaha na watoto 3.
Tokea siku hiyo, nilijufunza na namna ya kuongea na Mungu. Na tangu siku hiyo , nikiomba kwa style ile, huwa najibiwa haraka Sana... na nime- conclude , sara si lazima kuomba hadi magoti yachubuke...ni style ya uombaji na namna unavyomleta Mungu karibu nafsini kwako...

sahamani -ilikuwa ndefu...
 
Hongera sana umepata mke hakika
Hakika mkuu,kwanza alikuwa islam akamfuata Yesu...so ananipenda nampenda sana....

Alikuwa na form six failure...nilimsomesha cerificate up to degreee!

So....wanaosema mwanamke asomeshwi mie nawaangalia tu maana elimu yake sasa inamsaidia mwenyewe na watoto wake.

Kwahiyo hata nikodondoka leo hii ataweza kuwamudu watoto badala ya kutafuta masaada wa ndugu.

Ni risk kwa Mabaharia lkn penye upendo wa kweli na Mungu kuwasimamia very simple.

Hata house tumeshare names kumpa assurance no one atakusumbua in my absentee.

Note. Kila mtu ana njia zake za kuendesha familia yake don't copy and pest, huyu ni mshauri wangu namba moja.

Ana miproject kibao kichwani nashindwa kukimbizana caz mshiko sina.

Ubinafsi,choyo,vimetingisha sana ndoo.....hapa kwenye ubinafsi ndio issue sana....

Wanaume tunakwama tukipata pesa tu tunaongeza mademu, marafiki wengi msululu,tunaanza kuwa viburi kwa sana hiyo yote nguvu ya pesa.

Mungu hamtupi mja wake tukipigika sasa mikono nyuma tunarudi kwa wake zetu..

Take note brothers tuwapende wake zetu all weathers hakika Mungu ataendelea kutubariki na hatutapungukiwa kamwe,nyumbani ndio sehemu pekee ya kupata faraje kwingine ni temporarily tu.

Mwisho tumuombe sana Mungu atuongoze ktk njia zake.

1.Omba Mungu sana
2.Penda familia yako mke, watoto na ndugu wa pande zote 2
3.Tufanye sana kazi ni jukumu letu kuzilisha,kulinda na kusimamia familia
4.Piga sana show za kibabe kwa mke wako sio nduguyu,wenyewe wanasema hata kwetu nimeacha kitanda,sijaja kulala wala kula hapa.

Huyu ni zaidi ya mke ni rafiki,mpenzi,mwanangu nk....kwanza yy ananiita best au baba mzazi maana mzazi wake alitangulia mbele za haki.
 
Such a wise man. Kiss your wife for me
Hakika mkuu,kwanza alikuwa islam akamfuata Yesu...so ananipenda nampenda sana....

Alikuwa na form six failure...nilimsomesha cerificate up to degreee!

So....wanaosema mwanamke asomeshwi mie nawaangalia tu maana elinubyake sasa inamsaidia mwenyewe na watoto wake.

Kwahiyo hata nikodondoka leo hii atweza kuwamudu watoto badala ya kutafuta masaada wa ndugu.

Ni risk kwa Mabaharia lkn penye upendo wa kweli na Mungu kuwasimamia very simple.

Hata house tumeshare names kumpa assurance no one atakusumbua in my absentee.

Note. Kila mtu ana njia zake za kuendesha familia yake don't copy and pest, huyu ni mshauri wangu namba moja.

Ana miproject kibao kichwani nashindwa kukimbizana caz mshiko sina.

Ubinafsi,choyo,vimetingisha sana ndoo.....hapa kwenye ubinafsi ndio issue sana....

Wanaume tunakwama tukipata pesa tu tunaongeza mademu, marafiki wengi msululu,tunaanza kuwa viburi kwa sana hiyo yote nguvu ya pesa.

Mungu hamtupi mja wake tukipigika sasa mikono nyuma tunarudi kwa wake zetu..

Take note brothers tuwapende wake zetu all weathers hakika Mungu ataendelea kutubariki na hatutaoungukiwa kamwe,nyumbani ndio sehemu pekee ya kupata faraje kwingine ni temporarily tu.

Mwisho tumuombe sana Mungu atuongoze ktk njia zake.

1.Omba Mungu sana
2.Penda familia yako mke, watoto na ndugu wa pande zote 2
3.Tufanye sana kazi ni jukumu letu kuzilisha,kulinda na kusimamia familia
4.Piga sana show za kibabe kwa mke wako sio nduguyu,wenyewe wanasema hata kwetu nimeacha kitanda,sijaja kulala wala kula hapa.

Huyu ni zaidi ya mke ni rafiki,mpenzi,mwanangu nk....kwanza yy ananiita best au baba mzazi maana mzazi wake alitangulia mbele za haki.
 
Mwaka 2015 nilikwenda kwenye usaili katika moja wapo ya sekta nyeti nchini,,katika ofisi ile nilikuwa nafahamiana na mtu mmoja ambae amesa na dada yangu,,baada ya kufika pale baada ya uchunguzi wangu mdogo niligundua mimi ni mmoja ya wasailiwa wenye CV iloshiba na hata katika maswali nilijibu vizuri sana sikuwa na hofu kabisa kukosa kazi ile ukizingatia pia moja ya wakubwa nafahamiana nao na ndo aliniitia ule mchongo,,watu walikuwa wanatakiwa ilikuwa 60 na tulikuwa zaidi ya 400,,Ile kazi ilikuwa ya wazi ukafika muda wakaja majina ya wanaotakiwa kurudi kesho yake tukatajwa 75 kesho yake wakatusaili tena ambapo ilitakiwa wakatwe 15 yule jamaa alinihakikishia kazi nimeipata ajabu muda wanasoma watu walopata kazi 60 sikuwepo nilistuka na kuhuzunika sana nikafata jamaa nae akawa haelewi ananiambia kuna makina yalichezewa labda,,nilirudi nilipokuwa nimefikia nikiwa na huzuni sana maana niliona kabisa nimekosa kuingia Sekta nyeti kama ile kilaini sana,,nilijifungia ndani nikasali Rozari mara tatu nikimuomba MUNGU anifanyie wepesi kwani siamini kama kweli nilistahili kukatwa,,katika maisha yangu hakuna siku nilisali muda mrefu kama ile siku,,zaidi ya masaa matatu(saa 1-4 usiku) baada ya hapo nikamua kulala,,asubuhi sana saa 12 nikasikia simu inaita kupokea ni yule jamaa ananimbia nijiandae haraka niende ofisini nikawahi sana kufika pale nikakuta wenzangu walopita wanasubiri taratibu za kuajiriwa rasmi,,jamaa akafika saa mbili kasoro akaniita ofisini moja kwa moja akanambia wamegundua moja ya walokuwa wamepitishwa tayari ni Muajiriwa wa serikali(Dokta)huko Masasi sema alitaka cheza fix abadilishe kazi kinyemela hivo amekosa sifa za kuajiriwa na kaamriwa arejee haraka kazini kwake hivo nafasi yake mimi ndo nimepewa aseh nilifurahi sana sana na nikaamini Ukiomba kwa imani unapewa ule ulikuwa zaidi ya muujiza kwangu japo wapo baadhi ambao jana yake tulikatwa majina wakaamini kwamba nimehonga hela na kumbe sikutoa hata mia,,nashukuru MUNGU niliajiriwa Rasmi na kuanza kazi ambayo ninafanya hadi leo hii
 
Nilitofautiana na mke Wangu na yeye kurudi kwao... nikakaa miezi kama sita hivi kuomba kupatana na akasema niende tukutune sehemu... nikajua basi mambo freshi... nikakata ticket ya ndege kwenda kumuona... Nikiwa ndani ya ndege na milango imefungwa, Mara mke wangu ( tuliyetengana) akatuma txt kusema hataki tena tuonane... nikamwambia niko ndani ya ndege , milango imefungwa na siwezi ahirisha safari.
Gafla akazima simu na pia kuniblock... Nikaona isiwe tabu... nikaendelea na safari hadi mwisho. Nikafika na kwenda hotelini mbali kabisa na nyumbani kwao na ambako sikumtaatifu...
Nikiwa hotelini Usiku mimi Mwenyewe Saa 9 usiku nikaamka...moyoni Kwangu nikawaza, sasa nimekuja na kilicho nileta sijakipata... asabuhi nitarudi zangu airport na basi talaka nitampa...
Nikajiuliza, ni nini haswa sijakifanya , Mara wazo likaniijia, sala...sasa nikasema, nisali sali gani ambayo Mungu atanijibu... sikujua... Nikaanza ku- google, zikawepo Sala nyingi... nilipo anza kuchagua Mojawapo na kuanzia kuisali nikahisi sina connection na ninacho kisali... nikapitiwa na usingizi, nilipokuwa ninelala nikaota kwamba nisali tena. Swali likaja ndotoni, sala gani...jibu likawa... Mungu ni baba kama baba yangu na pia ni mwenye huruma kama mama yangu...siku za utotoni, ili nimuombe baba pesa , nilikuwa either napitia kwa mama au directly . Sasa nikawaza, nitatumia njia ya direct kuongea na Mungu directly .
Nikaamuka toka usingizini, nikaa kitandani... ndani ya hotel ile kulikuwa na kabati kubwa . Nikaliangaliwa na kikahisi hofu fulani hivi... basi nikajisemezea mwenyewe huku nikiliangilia kabati like na kusema maneno haya, “ ewe Mungu, najua umo ndani yangu kama nguo zilivyo ndani ya kabati hilo. Waijua nafsi yangu na kila kilichomo ndani yangu, wajua pia ni nini kilicho nileta hapa na chanzo cha mimi kutengana na mke wangu, wazo la kupatanishwa pia lilikuja tu kichwani kama jua la asubuhi... nisamehe nilipokukosea na mapenzi yako yatimie kwa namna itakavyo kukupendeza.”
Hiyo ilikuwa kama saa 10 alfajili hivi... baada ya hapo nikalala tena na asubuhi nikarudi tena airport ...kufika aitport, ndege hakuna - cancelled hadi kesho yake...nikaamua kutafuta hotel Nyingine, hii ilikuwa saa 5 asubuhi yake... sasa nikajisemea... hotel nyingi check in ni saa nane, Hebu ngoja nitafute sehemu nipate chakula cha mchana... nikaipata restaurant - nikala chakula. Baada ya kula na kulipia nikaanza safari ya kurudi hotelini huku nikisema moyoni, usiku ule nilijihisi siko pekee na nikasari . Niliyemwomba ni baba aliye ndani ya mwili wangu, iweje anichunie hivi bila majibu? Mke wangu kani- block na simu kazima , hata kama mimi ni mkosaji , nikijirudu na kumuomba baba yangu huwa anasikiliza kilio changu...
Gafla bin vuu namuona mke wangu mbele yangu ... sote tukapatwa na msituko wa ganzi na tukasimana bila kuongea neno kwa dakika 3 hivi tunaangaliana tu ...
Baada ya hapo nikaamuliza, vipi ulikuwa unanifuatilia? Akajibu hapana, nilikuwa njiani kuelekea kanisani misa ya mchana... akaniuliza na wewe...nikamueleza story ndefu ... kama yuko tayari tutaongea baada ya kanisa lake... akasema sawa, nisubiri hapa hapa nitarudi baada ya saa moja...
Kweli akaenda na baada ya saa moja akarudi... nikamwambia twende restaurant, akagoma...akasema tu tutembee kwenye bustani huku takaongee... basi tukaenda...
Tukaongea mambo mengi, gafla bin vuu, vikongwe wawili wakapita mbele yetu sisi tukiwa tumekaa benchi... mmojapo akasema, ”you reminded us the good old days ...”
basi mimi na mke wangu tulipatana na tukaa tangu saa 9 mchana hadi saa 9 usiku kwenye bench hilo bila kuondoka...
ndege yangu ilikuwa saa 2 asubuhi...mke wangu tukarudi sote . Ni Miaka 15 toka siku hiyo hadi sasa tupo pamoja na wenye Furaha na watoto 3.
Tokea siku hiyo, nilijufunza na namna ya kuongea na Mungu. Na tangu siku hiyo , nikiomba kwa style ile, huwa najibiwa haraka Sana... na nime- conclude , sala si lazima kuomba hadi magoti yachubuke...ni style ya uombaji na namna unavyomleta Mungu karibu nafsini kwako...

sahamani -ilikuwa ndefu...
Nimekuelewa sana nmejifunza kitu naisi pia kuna sababu ya mimi kusoma huu uzi nmejifunza kitu
 
Hakika mkuu,kwanza alikuwa islam akamfuata Yesu...so ananipenda nampenda sana....

Alikuwa na form six failure...nilimsomesha cerificate up to degreee!

So....wanaosema mwanamke asomeshwi mie nawaangalia tu maana elimu yake sasa inamsaidia mwenyewe na watoto wake.

Kwahiyo hata nikodondoka leo hii ataweza kuwamudu watoto badala ya kutafuta masaada wa ndugu.

Ni risk kwa Mabaharia lkn penye upendo wa kweli na Mungu kuwasimamia very simple.

Hata house tumeshare names kumpa assurance no one atakusumbua in my absentee.

Note. Kila mtu ana njia zake za kuendesha familia yake don't copy and pest, huyu ni mshauri wangu namba moja.

Ana miproject kibao kichwani nashindwa kukimbizana caz mshiko sina.

Ubinafsi,choyo,vimetingisha sana ndoo.....hapa kwenye ubinafsi ndio issue sana....

Wanaume tunakwama tukipata pesa tu tunaongeza mademu, marafiki wengi msululu,tunaanza kuwa viburi kwa sana hiyo yote nguvu ya pesa.

Mungu hamtupi mja wake tukipigika sasa mikono nyuma tunarudi kwa wake zetu..

Take note brothers tuwapende wake zetu all weathers hakika Mungu ataendelea kutubariki na hatutapungukiwa kamwe,nyumbani ndio sehemu pekee ya kupata faraje kwingine ni temporarily tu.

Mwisho tumuombe sana Mungu atuongoze ktk njia zake.

1.Omba Mungu sana
2.Penda familia yako mke, watoto na ndugu wa pande zote 2
3.Tufanye sana kazi ni jukumu letu kuzilisha,kulinda na kusimamia familia
4.Piga sana show za kibabe kwa mke wako sio nduguyu,wenyewe wanasema hata kwetu nimeacha kitanda,sijaja kulala wala kula hapa.

Huyu ni zaidi ya mke ni rafiki,mpenzi,mwanangu nk....kwanza yy ananiita best au baba mzazi maana mzazi wake alitangulia mbele za haki.
I wish wanaume wote wangesoma hapa
Natamani huu ujumbe ungening'inizwa pale juu kila mwanaume auone.

Hongera sana bro you're a man

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2015 nilikwenda kwenye usaili katika moja wapo ya sekta nyeti nchini,,katika ofisi ile nilikuwa nafahamiana na mtu mmoja ambae amesa na dada yangu,,baada ya kufika pale baada ya uchunguzi wangu mdogo niligundua mimi ni mmoja ya wasailiwa wenye CV iloshiba na hata katika maswali nilijibu vizuri sana sikuwa na hofu kabisa kukosa kazi ile ukizingatia pia moja ya wakubwa nafahamiana nao na ndo aliniitia ule mchongo,,watu walikuwa wanatakiwa ilikuwa 60 na tulikuwa zaidi ya 400,,Ile kazi ilikuwa ya wazi ukafika muda wakaja majina ya wanaotakiwa kurudi kesho yake tukatajwa 75 kesho yake wakatusaili tena ambapo ilitakiwa wakatwe 15 yule jamaa alinihakikishia kazi nimeipata ajabu muda wanasoma watu walopata kazi 60 sikuwepo nilistuka na kuhuzunika sana nikafata jamaa nae akawa haelewi ananiambia kuna makina yalichezewa labda,,nilirudi nilipokuwa nimefikia nikiwa na huzuni sana maana niliona kabisa nimekosa kuingia Sekta nyeti kama ile kilaini sana,,nilijifungia ndani nikasali Rozari mara tatu nikimuomba MUNGU anifanyie wepesi kwani siamini kama kweli nilistahili kukatwa,,katika maisha yangu hakuna siku nilisali muda mrefu kama ile siku,,zaidi ya masaa matatu(saa 1-4 usiku) baada ya hapo nikamua kulala,,asubuhi sana saa 12 nikasikia simu inaita kupokea ni yule jamaa ananimbia nijiandae haraka niende ofisini nikawahi sana kufika pale nikakuta wenzangu walopita wanasubiri taratibu za kuajiriwa rasmi,,jamaa akafika saa mbili kasoro akaniita ofisini moja kwa moja akanambia wamegundua moja ya walokuwa wamepitishwa tayari ni Muajiriwa wa serikali(Dokta)huko Masasi sema alitaka cheza fix abadilishe kazi kinyemela hivo amekosa sifa za kuajiriwa na kaamriwa arejee haraka kazini kwake hivo nafasi yake mimi ndo nimepewa aseh nilifurahi sana sana na nikaamini Ukiomba kwa imani unapewa ule ulikuwa zaidi ya muujiza kwangu japo wapo baadhi ambao jana yake tulikatwa majina wakaamini kwamba nimehonga hela na kumbe sikutoa hata mia,,nashukuru MUNGU niliajiriwa Rasmi na kuanza kazi ambayo ninafanya hadi leo hii
Mungu wetu ni mwaminifu sana.
Na ametuhakikishia kwamba Neno lake halitarudi bure bila kutimiza mapenzi yake.
..
Alisema ombeni mtapewa,nikumbushe tuhojiane,eleza Mambo Yako upate haki yako .

Tumia kanuni hiyo hata katika Mambo mengine unayotaka akutendee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitofautiana na mke Wangu na yeye kurudi kwao... nikakaa miezi kama sita hivi kuomba kupatana na akasema niende tukutune sehemu... nikajua basi mambo freshi... nikakata ticket ya ndege kwenda kumuona... Nikiwa ndani ya ndege na milango imefungwa, Mara mke wangu ( tuliyetengana) akatuma txt kusema hataki tena tuonane... nikamwambia niko ndani ya ndege , milango imefungwa na siwezi ahirisha safari.
Gafla akazima simu na pia kuniblock... Nikaona isiwe tabu... nikaendelea na safari hadi mwisho. Nikafika na kwenda hotelini mbali kabisa na nyumbani kwao na ambako sikumtaatifu...
Nikiwa hotelini Usiku mimi Mwenyewe Saa 9 usiku nikaamka...moyoni Kwangu nikawaza, sasa nimekuja na kilicho nileta sijakipata... asabuhi nitarudi zangu airport na basi talaka nitampa...
Nikajiuliza, ni nini haswa sijakifanya , Mara wazo likaniijia, sala...sasa nikasema, nisali sali gani ambayo Mungu atanijibu... sikujua... Nikaanza ku- google, zikawepo Sala nyingi... nilipo anza kuchagua Mojawapo na kuanzia kuisali nikahisi sina connection na ninacho kisali... nikapitiwa na usingizi, nilipokuwa ninelala nikaota kwamba nisali tena. Swali likaja ndotoni, sala gani...jibu likawa... Mungu ni baba kama baba yangu na pia ni mwenye huruma kama mama yangu...siku za utotoni, ili nimuombe baba pesa , nilikuwa either napitia kwa mama au directly . Sasa nikawaza, nitatumia njia ya direct kuongea na Mungu directly .
Nikaamuka toka usingizini, nikaa kitandani... ndani ya hotel ile kulikuwa na kabati kubwa . Nikaliangaliwa na kikahisi hofu fulani hivi... basi nikajisemezea mwenyewe huku nikiliangilia kabati like na kusema maneno haya, “ ewe Mungu, najua umo ndani yangu kama nguo zilivyo ndani ya kabati hilo. Waijua nafsi yangu na kila kilichomo ndani yangu, wajua pia ni nini kilicho nileta hapa na chanzo cha mimi kutengana na mke wangu, wazo la kupatanishwa pia lilikuja tu kichwani kama jua la asubuhi... nisamehe nilipokukosea na mapenzi yako yatimie kwa namna itakavyo kukupendeza.”
Hiyo ilikuwa kama saa 10 alfajili hivi... baada ya hapo nikalala tena na asubuhi nikarudi tena airport ...kufika aitport, ndege hakuna - cancelled hadi kesho yake...nikaamua kutafuta hotel Nyingine, hii ilikuwa saa 5 asubuhi yake... sasa nikajisemea... hotel nyingi check in ni saa nane, Hebu ngoja nitafute sehemu nipate chakula cha mchana... nikaipata restaurant - nikala chakula. Baada ya kula na kulipia nikaanza safari ya kurudi hotelini huku nikisema moyoni, usiku ule nilijihisi siko pekee na nikasari . Niliyemwomba ni baba aliye ndani ya mwili wangu, iweje anichunie hivi bila majibu? Mke wangu kani- block na simu kazima , hata kama mimi ni mkosaji , nikijirudu na kumuomba baba yangu huwa anasikiliza kilio changu...
Gafla bin vuu namuona mke wangu mbele yangu ... sote tukapatwa na msituko wa ganzi na tukasimana bila kuongea neno kwa dakika 3 hivi tunaangaliana tu ...
Baada ya hapo nikaamuliza, vipi ulikuwa unanifuatilia? Akajibu hapana, nilikuwa njiani kuelekea kanisani misa ya mchana... akaniuliza na wewe...nikamueleza story ndefu ... kama yuko tayari tutaongea baada ya kanisa lake... akasema sawa, nisubiri hapa hapa nitarudi baada ya saa moja...
Kweli akaenda na baada ya saa moja akarudi... nikamwambia twende restaurant, akagoma...akasema tu tutembee kwenye bustani huku takaongee... basi tukaenda...
Tukaongea mambo mengi, gafla bin vuu, vikongwe wawili wakapita mbele yetu sisi tukiwa tumekaa benchi... mmojapo akasema, ”you reminded us the good old days ...”
basi mimi na mke wangu tulipatana na tukaa tangu saa 9 mchana hadi saa 9 usiku kwenye bench hilo bila kuondoka...
ndege yangu ilikuwa saa 2 asubuhi...mke wangu tukarudi sote . Ni Miaka 15 toka siku hiyo hadi sasa tupo pamoja na wenye Furaha na watoto 3.
Tokea siku hiyo, nilijufunza na namna ya kuongea na Mungu. Na tangu siku hiyo , nikiomba kwa style ile, huwa najibiwa haraka Sana... na nime- conclude , sala si lazima kuomba hadi magoti yachubuke...ni style ya uombaji na namna unavyomleta Mungu karibu nafsini kwako...

sahamani -ilikuwa ndefu...
Hii imenigusa sana
 
Mungu anajibu.
mwaka 2014 mke wangu alikuwa mjamzito, ikafika kipindi cha kujifungua kutokana na tarehe iliyokisiwa huko kliniki. Kipindi hicho sina hata mia mbovu mfukoni nilikuwa nimenunua vitu vichache kwa ajili ya maandalizi na kulipa kodi ya nyumba hivyo mfukoni nikawa mweupe.
kusema kweli nilitamani tarehe ya kujifungua isogezwe mbele kama ingewezekana ili nijipange, nakumbuka kuna mda nakosa usingizi usiku utafikiri mimi ndio naenda kujifungua kutokana na mawazo ya kukosa hela. kuna siku moja niliamka asubuhi sana nikajiunga kifurushi cha mia tano iliyobaki kwenye mpesa ili niwapigie jamaa zangu kuwakopa hela, kila ninayempigia ananipa sababu zake za kushindwa kunikopesha. Nikaanza kuwatafuta wale wa karibu lakini kote hola, da nikachoka mwili na akili.
nikarudi nyumbani nikiwa mnyonge hata njaa sihisi, ikafika usiku wife akaanza kulalamika kuumwa tumbo hapo ndio nikazidi kuchanganyikiwa ingawa sikuwa mtu wa kanisani nikaanza kusali, nikakukumbuka mstari mmoja wa kwenye biblia kwamba Mungu anawanyeshea mvua wenye haki na waovu nikasema Mungu nikumbuke na mimi, tangu saa nane usiku sikupati usingizi tena. Asubuhi ikafika hali ikazidi kuwa mbaya mara simu yangu ikaanza kuita kuangalia naona namba ya baba nikapokea akaniuliza umeiona meseji? nikasema hapana, akasema nimekutumia laki tano mpesa kuna hela nilikuwa naisubiri siku nyingi ndio nimelipwa nikaiona nikupe na wewe kidogo, aisee kama kuna siku ambayo nilipata furaha ile ni siku moja wapo.
comment yangu ni ndefu na simu inaishiwa chaji.
Daaah nimesikia raha km ndio mimi
Mungu ni mwema
 
Napenda hizi shuhuda ila naomba mnisaidie, unamuombaje Mungu akusaidie mdeni/wadeni wako wakulipe hela zako. Hii inanipa stress sana, nachukia sana mtu unamdai and he doesn't bother at all, tena anaweza kukutupia maneno ya kashfa na kuudhi.
Hii imekaa zaidi kwa haki
Mistari yake mingi ipo kitabu cha mithali
 
Yaan hata sijui hii ibada nigeuze uombaji au?

Au kuna masharti nakosea daah
Mungu amekua akinijibu maombi papo hapo ila kuna jambo lilichukua miaka saba kujibiwa na mwaka wa sita nilikua nishakata tamaa ya kuomba.mwaka wa saba likajibiwa na baada ya kujibiwa nikajua kwa nini Mungu alikua anachelewa kujibu nimejifunza sana.
Usikate tamaa ya kuomba hiyo itakua hatari sana kwako
 
Mungu amekua akinijibu maombi papo hapo ila kuna jambo lilichukua miaka saba kujibiwa na mwaka wa sita nilikua nishakata tamaa ya kuomba.mwaka wa saba likajibiwa na baada ya kujibiwa nikajua kwa nini Mungu alikua anachelewa kujibu nimejifunza sana.
Usikate tamaa ya kuomba hiyo itakua hatari sana kwako
Asante Mkuu, kwanini hakukujibu kwa Wakati?
 
Mimi kuna matukio kadhaa aisee naamini moja kwa moja Mungu ndiye alinisaidia.

1. Kukingwa na mvua kubwa
2. Chakula cha hapo kwa hapo
3. Kuokoka kufumaniwa na mke wa mtu

Ila jaman MUNGU ANAJIBU MAOMBI kwa aombae kwa dhati.

Hivi unajua Ibilisi ana uwezo wa kujibu sala na kufanya miujiza pia? Unafikiri nani anawasaidia wachawi kufanya miujiza yao ya kuroga au kule Kigoma kuzuia mvua wakati wa harusi za watu, au Sumbawanga kuleta radi wakati wa kiangazi? Sasa jiulize sana ni nani hasa amekuwa akijibu sala zako.
 
Back
Top Bottom