Umeongea mkuu.kwani kuna nini?mbona sioni kitu cha kushangaza???????
rafiki huwa tunakubaliana mara nyingi lakini mpenzi wako namfahamu hamfikii huyu hata robo(infakti) kama unabisha weka picha yake sambamba tuwalinganishe.wa kawaida saaaaaaaaaana.....................kwa mpenzi wangu ni 3/10
Kipendacho roho.au umezoea shanga weye cheni huziwezi
wenyewe wanasema demu wa vigodoro
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us