Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haina haja ya kuanza kujifunza tafuta pesa mwisho wa siku watakuja kukutongoza wenyewe kwann upoteze muda kujifunza kutongoza?mimi sijui kutongoza...wanaanzaje?
kwani ukiwa na pesa wakija nao wataanzaje....?haina haja ya kuanza kujifunza tafuta pesa mwisho wa siku watakuja kukutongoza wenyewe kwann upoteze muda kujifunza kutongoza?
Binafsi ukinitongoza nitakuchukia sana
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
mbona kuna Tecno smart phone kali tuu
TECNO tecno tu mzee kama phantom ndo kubwa jingaaaaaa
Hivi kuna watu bado wanatongoza siku hizi?
TECNO tecno tu mzee kama phantom ndo kubwa jingaaaaaa
nitaanza kwa kusalimu, kisha.....
TECNO tecno tu mzee kama phantom ndo kubwa jingaaaaaa
yote ya nini huko wengine utaona unawachelesha, unamsalimu unamwambia shida yako tu.....unampa business card akikupigia unamwalika dinner
Hivi kufanya kazi Bank ndo kuwa na hela?
Afu siku hizi watu hawatongozi, ni krb tule baadae twende nzetu tukalale nina usingizi kwishney!