alma gemela
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 842
- 271
gemela naomba urafiki na wewe uwe wangu na mimi niwe wako
Oooh karibu
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Last edited by a moderator:
gemela naomba urafiki na wewe uwe wangu na mimi niwe wako
Dah...huo wote ni usumbufu tu "FANYA KAZI PATA FEDHA" hata kama kutongoza hujui watajileta wenyewe
Kama kinyume cha hayo ndio mafanikio basi nakata rufaa hapo penye nyekundu!!!!!!!!!!! jaribu uone kama utampata kwa kumsifia ex wako!1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.
2.KUJIFAKE
wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno
3.KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE
unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke.unamtongozaje mwanamke asubuhi?,,
4.KUMPONDA UR EX LOVER
mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae.
5.KULALAMIKA
Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa.mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.UKITULIA NA KUMTONGOZA MWANAMKE BILA KUYATENDA HAYA MBNA UTAMPATA KILA UMTAKAE.HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI
Labda hatujui maana ya kutongoza. Kutongoza ni process nzima kutoka unapokutana na dem hadi una mvua chupi for the first time. Sasa waweza kutumia mbinu yeyote hapo. Kwa sababu hamuwezi kukutana na dem halafu ghafla mkajikuta mko chumbani uchi.hivi bado wanawake wanatongozwa? Dah! Pole yao wanaotongoza na kukutana na vizuizi
Kutongoza ni wastage of time ni ushamba pia.wanawake wa vijijini ndiyo wanatongozwa.huku town ukitongoza ujue utakataliwa tu kwani utaonekana ndiyo umeingia town.siku inamata unanini mkononi
sm time jaribu kufikiria ...uckurrupuke...rejea kusomaDu umejidanganya wanaume ni wajanja sana mara nyingi wanatongoza kutokana na mazingira. Mathalani unataka kumega baamedi huna haja ya kutumia msuli kutongoza we ili mradi upange bia kiaina kisha mambo yanakuwa safi. Kuna mademu wengine wanaojifanya wajanja kama wewe wameingizwa mjini na masela kwa kushobokea vitu vikubwa.
pamoj kalagabahosm time jaribu kufikiria ...uckurrupuke...rejea kusoma
hiy thread upyaa...
hata uyo baamed huwez kukurupuka hvyo..coz ubaamed c umala.....y..a mbona MTOA MADA KAELEZEA V2 MUHIM km kuutokukurupuka,mood n.k Na c kutumia nguvu nying kulikoo utashi..
nitaanza kwa kusalimu, kisha.....Kwa kusalimia
1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.
2.KUJIFAKE
wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno
3.KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE
unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke.unamtongozaje mwanamke asubuhi?,,
4.KUMPONDA UR EX LOVER
mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae.
5.KULALAMIKA
Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa.mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.UKITULIA NA KUMTONGOZA MWANAMKE BILA KUYATENDA HAYA MBNA UTAMPATA KILA UMTAKAE.HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI
ndo namshangaa jamaa huyu mtoa mada me sina demu lakn nagonga ngozi daily
Kutongoza ni wastage of time
ni ushamba pia.wanawake wa vijijini ndiyo wanatongozwa.huku town
ukitongoza ujue utakataliwa tu kwani utaonekana ndiyo umeingia town.siku
inamata unanini mkononi