Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
- Thread starter
- #81
umeona eeUmenena vema mkuu.
Yani mule mule
umeona eeUmenena vema mkuu.
Yani mule mule
mmmmh weeeSomo zuri hili, ila mkiwapata hao wenye kuwa wastaarabu huwa mnawaona wajinga na kuwaletea vibweka....
Aisee, jaribu kumrekebisha hapa na pale muishi vyemaBinafsi nimemwelewa.,ukweli karibia yote kwa upande wangu amegonga mulemulee...
Kweli kabisa aisee ndio hivyo inabidi tujifunze na tuukubali ukweli hata kama ni mchunguMKUUU IYO NI NATURE YA WANADAMU .
ALAFU NAKUHAKIKISHIA ,,AS LONG AS UMENENA UKWELI MTUPU.
WANAOPINGA HUWA NIWANAFIKI AMBAO MOYONI HUSEMA IVI ** Jose kaongea ukweli*
Brother ,,,hiii dunia ukiisoma vzuri haikupi shida.
Poa sana kiongoziUko sawa kabisa Mkuu
Yeah mkuu ila kuna wakosoaji si unajua tenaUmenena vema mkuu 99% very truu
Kabisa mkuuu !!!Kweli kabisa aisee ndio hivyo inabidi tujifunze na tuukubali ukweli hata kama ni mchungu
Hiyo ya kulinganisha bhana huwa inawafanya wanaume wajisikie vibaya mnoo, hata kwa wanawake ila kwa wanaume zaidi!!!!
Huyo ni mwanaume wako, ulimpenda ukamchagua sasa unamlinganisha na fulani ili iweje labda!!!! Tunalalamika wanaume hawana nguvu za Usiku lakinii Sisi ni chanzo namba moja, sababu ya midomo yetu.
Naamini sio wanawake wote ila weeengi jamani midomo yetu inaweza jenga na inaweza bomoa pia!!!!!
Kweli were no kichaa kama I'd yako mana huekewekMkuu mleta maada wewe in KE? nakushauri uandike mambo 7 yanayotuumiza wanaume otherwise tutakuwa hatukusomi
ni kweli kabisa mkuuKabisa mkuuu !!!
Huwa Nina sheria zangu Fulani ndani ya kichwa changu ambazo kwao naziishigi na naziheshimu sana datz y * hawa wanadam hawanipi shida*.
All in all ,,Anayekupinga sio kitu ni MCHAWI.
Nashukuru kwa kuliona hilo BAK, nawe pia Sijawahi choka kukusoma kwenye lile jukwaa la wagumu!!!!Katika wanawake 10 wenye hekima na busara za hali ya juu hapa jamvini na wewe umo mama ila usiniulize kuhusu majina ya hao wengine 9 na nikupangie wa kwanza mpaka wa kumi hilo sitaliweza . Kukusoma humu huleta faraja sana kujua bado kuna wanawake wenye mtazamo kama kama huu.
Nashukuru kwa kuliona hilo BAK, nawe pia Sijawahi choka kukusoma kwenye lile jukwaa la wagumu!!!!
Asante mnoo na barikiwa.