Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
- Thread starter
- #61
ndio mkuu aiseehii ni kweli kabisa..
ndio mkuu aiseehii ni kweli kabisa..
Yap yap mkuuUkweli mtupu
Ukiweza mzee sio mbayaSijui nimFowadie baby wanguu...!!
Tuma tu usiwazeukifanya hvo ulete mrejesho maana mm pia nafikiria kufanya hivo
Wakosoaji hamkosekani...najua message umeipata au sioKwani hata mnajua mnachotaka basi!!!!!
uko vizuri mkuuHiyo namba 1, huwa nikisha i spot kwa binti huwa najiepusha mapema zaidi.
poa slim5Huu uzi nitakuja kukoment siku nyingine, leo acha tu nielekee sentro!
Hapana mkuu.. sio mara ya kwanzaKwa mara ya kwanza Joverest katuma mada
Anhaa wengine inawaumiza si unajua tumetofautianaHayo yote hayaniumizi.
Kwahiyo mimi siyo mwanaume au?
kabisa aiseekuna ukweli ndani yake.
Yap yap mkuuAbsolutely true
Shukrani mkuuumenena vyema!!!
Nimekupa likes kiuhalali msalimie dadangu emmytaHiyo ya kulinganisha bhana huwa inawafanya wanaume wajisikie vibaya mnoo, hata kwa wanawake ila kwa wanaume zaidi!!!!
Huyo ni mwanaume wako, ulimpenda ukamchagua sasa unamlinganisha na fulani ili iweje labda!!!! Tunalalamika wanaume hawana nguvu za Usiku lakinii Sisi ni chanzo namba moja, sababu ya midomo yetu.
Naamini sio wanawake wote ila weeengi jamani midomo yetu inaweza jenga na inaweza bomoa pia!!!!!
Upo sahihi kabisa mkuu, usiombe ukutane naoKuna wanawake wabishi kama radi
mkuuSafi sana mkuu
Hata nature ndio ilivyo...sasa akikupanda kichwani kuna walakinime katika vyote ivo sipend kutawaliwa napenda nimcontrol mwanamke sio yeye anicontrol
katika uboRa wake...poa mkuu werrasonJoseverest katika uboLa wake
Poa mkuu tunaendelea kujifunzaTunashukuru kwa kutufumbua macho!