Huyu ndiye mwanamke anayejielewa.Hiyo ya kulinganisha bhana huwa inawafanya wanaume wajisikie vibaya mnoo, hata kwa wanawake ila kwa wanaume zaidi!!!!
Huyo ni mwanaume wako, ulimpenda ukamchagua sasa unamlinganisha na fulani ili iweje labda!!!! Tunalalamika wanaume hawana nguvu za Usiku lakinii Sisi ni chanzo namba moja, sababu ya midomo yetu.
Naamini sio wanawake wote ila weeengi jamani midomo yetu inaweza jenga na inaweza bomoa pia!!!!!
Ataitika mkuuHuyu ndiye mwanamke anayejielewa.
Hongera zimwendee mme wake.
Karibu sana mkuuAsante Mkuu kwa kutushirikisha makala hii
poa mkuuNOTED!!
Why? Kwa sababu gani?not true
Yap yapHata vice Ana mume
wachache, kuna watakaokuja kupinga hapa..we subiri tuWamekuelewa mkuu
ndiooThe weekend is back
Mtoa mada ni ME hayo yalioandikwa hapo kwani yanamuhusu naniMkuu mleta maada wewe in KE? nakushauri uandike mambo 7 yanayotuumiza wanaume otherwise tutakuwa hatukusomi
Poa mtaniiahsante sana
Good good kapeaceMh tutajitahidi
Hapana, wapi imeonesha nimeikana jinsiaUnaikana jinsia yako eeh we jose
Ni poa sana mkuupoint zote zimeshiba
ngoja wahusika wakuje kipande hii
Kweli aisee...Sijawasema wanawake wote ni baadhiHiyo ya kulinganisha bhana huwa inawafanya wanaume wajisikie vibaya mnoo, hata kwa wanawake ila kwa wanaume zaidi!!!!
Huyo ni mwanaume wako, ulimpenda ukamchagua sasa unamlinganisha na fulani ili iweje labda!!!! Tunalalamika wanaume hawana nguvu za Usiku lakinii Sisi ni chanzo namba moja, sababu ya midomo yetu.
Naamini sio wanawake wote ila weeengi jamani midomo yetu inaweza jenga na inaweza bomoa pia!!!!!
MKUUU IYO NI NATURE YA WANADAMU .wachache, kuna watakaokuja kupinga hapa..we subiri tu