Hatutaki mizungu, miarabu wala Gaddafi mwenyewe.

Mtu aliyeisapoti Uganda wakati wa vita ya TZ na Uganda. Mtu aliyesapoti ugaidi na kulipa fidia kwanini tumtetee?

Walibya wenyewe walimchoka na kumuua ndo sisi tumsapoti. Acheni uzwazwa
Kumbe
 
“Kila mwananchi wa Libya aliyekosa ajira baada ya kuhitimu kulingana na kiwango alichofikia, Serikali ilimlipa mshahara unaokaribiana na mtu aliyeajiriwa mwenye elimu sawa na aliyonayo yeye.“ .. basi hakuna ambae angetafuta ajira kama ndo unalipwa salary bure hivi
 
Watu wangap wanatengenezwa na hao wamarekan kisha wanakuja kuvuruga nchi zao????ukiongozwa na misingi ya chuki za kidini ambao weng ndyo wapo hvyo huwezi ona tatizo....lkn ushenzi wa nchi za magharibi ukiongozwa na Marekani haujaanza leo na ugaid basi hakuna anaeweza kuishinda Marekan kwa matendo yake ya kigaidi karibu ulimwengu mzima

Jirani akikwambia muue baba yako na wewe ukakubali kumuua hapo mjinga ni wewe sio jirani aliyekushawishi. Kama baba yako ni mwema na una akili timamu huwezi kumuua utamkingia kifua.

Gaddafi alikufa mikononi mwa walibya wenyewe. Anything nyie outsiders say is irrelevant, mtawabebesha Marekani lawama zote ila Gaddafi aliuwawa na walibya wenyewe, angekua mwema sana walibywa wangekuwa wa kwanza kumtetea na hadi Leo ni nyie walibya wa ileje mnaomtetea huyo bwana ila walibya wenyewe husikii wakipiga kelele.
 
R.i.P Classmate...😥
Roho bado inaniuma hadi leo kwajinsi ulivyo sulubiwa na wanachi wako ulio wapenda, tena chini ya mtaro wa maji taka..😪
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom