Mambo 10 niliyojifunza Zanzibar

Mambo 10 niliyojifunza Zanzibar

Vp kuhusu mzunguko wa Hela Zanzibar ni kama bara au..
Na biashara gn unaweza kuimove kutoka nzazbar to bara au bara to nzanzbar
Mzunguko wa pesa vizuri kushinda mikoani ukiwa mpenda kazi utapata pesa sanaa kwasababu wazanzibari hawapendi kazi ngumu yani kule Zanzibar ukifanya kazi za vibarua unalipwa pesa nyingi kwa siku unaweza kulipwa 25000 mpaka 50000, kule mzunguko wa pesa upo juu kwasababu ya utalii wazungu ni wengi na hoteli ni nyingi mno na hoteli za kulala kwa siku mpaka million 6.
 
Mzunguko wa pesa vizuri kushinda mikoani ukiwa mpenda kazi utapata pesa sanaa kwasababu wazanzibari hawapendi kazi ngumu yani kule Zanzibar ukifanya kazi za vibarua unalipwa pesa nyingi kwa siku unaweza kulipwa 25000 mpaka 50000, kule mzunguko wa pesa upo juu kwasababu ya utalii wazungu ni wengi na hoteli ni nyingi mno na hoteli za kulala kwa siku mpaka million 6.
Kwahyo kanz za unskilled labour nzipo za kutosha
 
1. Pamoja na kubarikiwa ardhi nzuri na yenye rutuba, Zanzibar kuna mfumuko wa bei sana kwenye bidhaa za vyakula vya bustani kama matunda na mboga mboga... siyo kama kwetu Moshi.

Kwa sasa ndizi fupi, ambazo Moshi tunatumia kutengeneza mbege ni shilingi 500.

2. Samaki na bidhaa za bahari ni ghali kuliko hata maeneo yasiyo na bahari Tanzania bara

Usidhani kwamba ukifika hapa utakula samaki kwa mtelezo,ebwana bei ya samaki wote hadi pweza inazidi hata Morogoro, nadhani ni effect ya utalii au umasikini,mtu anavua samaki anauza kipande elfu 5 ambacho bara elfu 2.

3. Watu wake wengi ni wavivu na wanaopenda kazi za mtelemko,pia kubebana na rushwa iko kwa kiwango kikubwa sana kwenye baadhi ya sekta kama afya,elimu na biashara

hapa ndio shida ilipo,wazenji wengi wavivu sana na wapenda dezo...ila wanaridhika na wanachopata...wanapenda sana connection na hakuna haki,huku ni nani anajuana na nani na kila mmoja anajigamba anafanya kazi ikulu au yeye ni usalama wa taifa

Zanzibar hakuna mnyonge,unakuta mshona viatu anasema yeye ni ndugu wa raisi kwahiyo usimchukulie poa.

Kwenye elimu kuna kubenana sana ndio maana ubora wa elimu yao uko chini sana kulinganisha na bara,ushahidi ni matokeo ya kidato cha nne.

4. Kama unapenda ngono za ovyo ovyo basi huku utakua na option mbili tu

(a) Kufa na nyege zako
(a) Kununua malaya wanaotoka bongo hasa kwa gia ya kuja kufanya kazi za hotel,hawa wengi wanapatikana muda wowote kwenye msururu wa bar zilizopo karibu na uwanja wa amani..huko zimepangwa gari ndogo ndio gesti hizo,unalipia demu unaenda chakatia humo sababu gharama ya gesti ni juu sana na masharti ni makubwa.

Ama ukiweza uende kununua malaya shamba huko pembezoni ya mji kama kiwengwa,nungwi,paje n.k

Ukikamatwa na binti wa watu mvaa shungi hapo lazima uoe na wao ndoa ni kitu huwa hawacheleweshi hata kidogo...unaozeshwa na ndugu wanahamia hapo hapo sasa utachagua uwakimbie au ubaki upambane na hali.

5. Watoto wa kiume zanzibar wako kwenye hatari kubwa zaidi kimalezi kuliko watoto wa kike.

hili suala baya sana..kuna kesi nyingi sana za watoto wa kiume kulawitiwa na kulawitiana,zanzibar watoto wa kike wanalindwa sana na sheria za dini na imewasahau wanaume...ni kawaida kukuta watoto wa miaka 10-25 wako maskani hadi saa tano au sita usiku bila uangalizi wowote

matumizi ya dawa za kulevya na sigara pia bangi hadharani ni makubwa sana kulinganisha na bara.

ndio maana kitaaluma wanaoongoza ni wasichana siyo wavulana,na wanawatawala hadi ndani ya nyumba

mwanaume wa zanzibar kukuta anaosha vyombo,kupika na kufua ni kawaida wakati mke wake akiwa anapaka hina au kashika mtoto kwa mikono miwili(hawabebi mtoto mgongoni)

6.ukiona dada yako kaaga anaenda zanzibar kufanya kazi ya hoteli,au kwa shoga yake kutembea,au tu kazi yoyote isiyo professional basi ujue yupo huku anajiuza.

maisha zanzibar ni ghali sana kuishi bila kipato cha uhakika...kwahiyo njia pekee ya wenye mtaji mbususu ni kuiuza kwa nguvu ukizingatia kuna uhaba sana wa mbususu

kwahiyo kuwa makini sana na mdada abayeaga kwenda zanzibar

7.dhana ya ubaguzi kwa zanzibar ni vile wewe utaamua kuishi nao,ukitaka usibaguliwe basi usichangamane sana nao hasa hasa kama wewe ni mgalatia...ila ukiwa kiherehere kwenye mambo yao utaona unabaguliwa kila mara sababu wakikuuliza jina ukasema naitwa matayo basi kuna baadhi ya mambo utayasikia tu.

waulize walioomba sensa

8.wazanzibari hawana makuu...yeye akienda kuendesha boda boda akatimiza malengo saa nne asubuhi basi anarudi kulala na mke wake

hawana mambo ya kulazimisha mtu kwenye biashara wala kuita ita uje kununua

akitaja bei hata hana haja ya kukuuliza una shingapi,ukishindwa ondoka ataishia kusema Si riziki...

konda wa daladala kama hana chenchi anakurudishia hela yako uende bila matusi wala kashfa...konda akiita mtu mara moja harudii na mara nyingine anamuomba abiria siti hasa hasa ikiwa jioni kachoka,konda anakaa abiria anasimama

9.wageni wengi ndio wanawasanua akili sasa hivi wanaamka kiasi,lakini wameamka kipindi ambacho wengi wamepigwa gap kubwa sana.

uzuri kihistoria hakuna mmiliki halali wa hivi visiwa lakini kwa sasa mambo mengi yamekamatwa na wageni hasa wahindi na waarabu,wabantu wana hali mbaya sana za kiuchumi...ukimkuta masikini zanzibar ni masikini kweli kweli

10.wanapenda umwinyi na kusifiwa au muhindi

wewe ukimwona mweupe mwite mwarabu basi anafurahi sana,zawadi mpe kanzu na balaghashia

kama unataka demu basi anzia hapo kwenye kumwita mwarabu,na wao huwa wanasema wao ni waarabu,kumbe ni mazao ya muingiliano huo uliotokea zamani kati ya wageni mbalimbali waliokua wakifika hapa kwa shughuli zao.

ila wao wanachojua kwao ni Oman

All in All.....Zanzibar kuzuri kuishi sana ila usiwe na makuu,hautapata huduma nyingi kwa haraka na nafuu kama ulivyozoea bara

hakuna bar na gesti holela mtaani,ni mara chache sana kupishana na mlevi na akitokea mtu anakatiza mahala kalewa basi wanaitana mtaa mzima kuja kumshangaa.

Hakuna sehemu imetaja kitimoto mkuu, sio sawa..hebu lete habar kidogo kuhusu Kitimoto huko Zanziberi
 
11.Matajiri wao wapo simple sana.Yaani unaweza kupishana na tajiri mkubwa tu halafu usijue.Njoo kwetu bara.!!!!!!!!!!!!!!!
12.Hawana ushamba na ulimbukeni wa vitu vya eletroniki na magari.Kwao ni vitu vya kawaida sana.Njoo kwetu bara!!!!!!!!!!!
13.Ni wastaarabu kwa maana ya ustaarabu.Kutoa salamu ndani ya gari, kutoa lift bila ya masharti, lugha za staha, mavazi ya stara, ukarimu.Dhana ya huyu ni mkubwa na huyu ni mdogo bado ipo.
14.Vituo vingi vya magari kuishia na herufi ni mfano, chuini,amani,mkokotoni, chaani, mfenesini, darajani, michenzani ,kwa hani, kisauni n.k
15.
Siyo waoga katika kudai haki zao.
16.Wanafuatilia sana siasa katika vijiwe vyao vya kahawa.
Nb1:Kila jamii ina mazuri na mabaya yake.
Nb 2. Ustaarabu ulianzia Pwani na kitovu chake ni Zanzibar(Ukweli mchungu) angalia elimu,uchumi,siasa,kijamii n.k
labda ustaarabu wa kinafiki

hawa wengi ni waovu sana deep inside sababu hakuna sehemu pana rushwa kama hapa,kesi za ubakaji na kulawiti ni nyingi hasa kwa watoto

uchafu ndio mwingi sana,maeneo wanayoishi ni uchafu kwa kwenda mbele...mitaro ya maji kunuka mingi

matumizi ya vyoo ni ya hovyo sana...zanzibar mjini hapa hakuna choo cha kulipia chenye staha hata kimoja,vyote unaingia unawaza tu utoke salama

sehemu za vyakula ni chafu na hakuna anayejali sana kuhusu uchafu

sijui unasemea ustaarabu gani ndio ukianzia pwani
 
Vipi kuhusu wakuja ( kutoka bara ) akitaka kumiliki ardhi huko visiwani, je ni rahisi?
Soma hapo 👇🏾.
 
Vp kuhusu mzunguko wa Hela Zanzibar ni kama bara au..
Na biashara gn unaweza kuimove kutoka nzazbar to bara au bara to nzanzbar
sijajua lakini vyakula ambavyo huko vinatupwa huku ni deal sana..

matunda ni bei juu

huwezi pata parachichi bila 3000
ndizi ndio hazishikiki

nilienda mahala nikaagiza ndizi moja nimekula natoa elfu 2 naambiwa ni elfu 5
 
Hakuna sehemu imetaja kitimoto mkuu, sio sawa..hebu lete habar kidogo kuhusu Kitimoto huko Zanziberi
kitimoto kupata lazima uwe na connection

mara nyingi zipo kwenye center za wakatoliki mfano kuna sehemu iko welezo huko kitimoto ya kila mtindo utaipata muda wowote.

ila cha ajabu nimekaa zanzibar miaka mitatu sasa sijawahi katizana na mbwa
 
Pia zanzibar kuna Paka wengi kuliko aina nyingine yoyote ya mnyama

paka wa zanzibar hagombanii chakula,kama unampa mpe usipompa hujampa tu

paka wanene wamejaa pale forodhani na wa kila aina mtaani

paka hawakimbii wala hawaogopi watu...wao hawajui shida na changamoto za wenzao wa bara

ila sijawahi ona mbwa zanzibar
 
sijajua lakini vyakula ambavyo huko vinatupwa huku ni deal sana..

matunda ni bei juu

huwezi pata parachichi bila 3000
ndizi ndio hazishikiki

nilienda mahala nikaagiza ndizi moja nimekula natoa elfu 2 naambiwa ni elfu 5
Avocado elfu tatu???

Na ndizi mbivu elfu Tano???

au sijaelewa vizuri, Basi Kuna fursa huko kumbe
 
Ukisema Ustaarabu unamaanisha nini Kwanza?
Ustaarabu kwa maana ya jumla: Hii ni hatua ya juu ya maendeleo iliyopigwa na jamii husika katika wakati fulani katika nyanja mbalimbali kama vile kisiasa,kiuchumi,kiutamaduni,kijamii na kiteknolojia.

Ustaarabu= Jamii iliyoendelea.(Mazuri mengi mabaya machache)
Miongoni mwa sababu kuu za kuenea ustaarabu ni mwingiliano katika nyanja mbalimbali.

Swali 1:Ipi ilikuwa jamii ya mwanzo kuingiliana na jamii nyingine kimataifa na kitaifa katika nyanja mbalimbali kati ya bara na pwani.???

Swali 2:Ipi ilikuwa jamii ya mwanzo kupiga maenedeleo makubwa katika nyanja zote kati ya bara na pwani???

Nb 1: Tunazungumzia zamani sana(Karne kadhaa zilizopita)!!!!!!!!!!!

Nb 2: Tukubali (ukweli mchungu) jamii ya Zanzibar ilianza kujiatach na kujiexpose na external world mapema kuliko jamii yoyote.
 
1. Pamoja na kubarikiwa ardhi nzuri na yenye rutuba, Zanzibar kuna mfumuko wa bei sana kwenye bidhaa za vyakula vya bustani kama matunda na mboga mboga... siyo kama kwetu Moshi.

Kwa sasa ndizi fupi, ambazo Moshi tunatumia kutengeneza mbege ni shilingi 500.

2. Samaki na bidhaa za bahari ni ghali kuliko hata maeneo yasiyo na bahari Tanzania bara

Usidhani kwamba ukifika hapa utakula samaki kwa mtelezo,ebwana bei ya samaki wote hadi pweza inazidi hata Morogoro, nadhani ni effect ya utalii au umasikini,mtu anavua samaki anauza kipande elfu 5 ambacho bara elfu 2.

3. Watu wake wengi ni wavivu na wanaopenda kazi za mtelemko,pia kubebana na rushwa iko kwa kiwango kikubwa sana kwenye baadhi ya sekta kama afya,elimu na biashara

hapa ndio shida ilipo,wazenji wengi wavivu sana na wapenda dezo...ila wanaridhika na wanachopata...wanapenda sana connection na hakuna haki,huku ni nani anajuana na nani na kila mmoja anajigamba anafanya kazi ikulu au yeye ni usalama wa taifa

Zanzibar hakuna mnyonge,unakuta mshona viatu anasema yeye ni ndugu wa raisi kwahiyo usimchukulie poa.

Kwenye elimu kuna kubenana sana ndio maana ubora wa elimu yao uko chini sana kulinganisha na bara,ushahidi ni matokeo ya kidato cha nne.

4. Kama unapenda ngono za ovyo ovyo basi huku utakua na option mbili tu

(a) Kufa na nyege zako
(a) Kununua malaya wanaotoka bongo hasa kwa gia ya kuja kufanya kazi za hotel,hawa wengi wanapatikana muda wowote kwenye msururu wa bar zilizopo karibu na uwanja wa amani..huko zimepangwa gari ndogo ndio gesti hizo,unalipia demu unaenda chakatia humo sababu gharama ya gesti ni juu sana na masharti ni makubwa.

Ama ukiweza uende kununua malaya shamba huko pembezoni ya mji kama kiwengwa,nungwi,paje n.k

Ukikamatwa na binti wa watu mvaa shungi hapo lazima uoe na wao ndoa ni kitu huwa hawacheleweshi hata kidogo...unaozeshwa na ndugu wanahamia hapo hapo sasa utachagua uwakimbie au ubaki upambane na hali.

5. Watoto wa kiume zanzibar wako kwenye hatari kubwa zaidi kimalezi kuliko watoto wa kike.

hili suala baya sana..kuna kesi nyingi sana za watoto wa kiume kulawitiwa na kulawitiana,zanzibar watoto wa kike wanalindwa sana na sheria za dini na imewasahau wanaume...ni kawaida kukuta watoto wa miaka 10-25 wako maskani hadi saa tano au sita usiku bila uangalizi wowote

matumizi ya dawa za kulevya na sigara pia bangi hadharani ni makubwa sana kulinganisha na bara.

ndio maana kitaaluma wanaoongoza ni wasichana siyo wavulana,na wanawatawala hadi ndani ya nyumba

mwanaume wa zanzibar kukuta anaosha vyombo,kupika na kufua ni kawaida wakati mke wake akiwa anapaka hina au kashika mtoto kwa mikono miwili(hawabebi mtoto mgongoni)

6.ukiona dada yako kaaga anaenda zanzibar kufanya kazi ya hoteli,au kwa shoga yake kutembea,au tu kazi yoyote isiyo professional basi ujue yupo huku anajiuza.

maisha zanzibar ni ghali sana kuishi bila kipato cha uhakika...kwahiyo njia pekee ya wenye mtaji mbususu ni kuiuza kwa nguvu ukizingatia kuna uhaba sana wa mbususu

kwahiyo kuwa makini sana na mdada abayeaga kwenda zanzibar

7.dhana ya ubaguzi kwa zanzibar ni vile wewe utaamua kuishi nao,ukitaka usibaguliwe basi usichangamane sana nao hasa hasa kama wewe ni mgalatia...ila ukiwa kiherehere kwenye mambo yao utaona unabaguliwa kila mara sababu wakikuuliza jina ukasema naitwa matayo basi kuna baadhi ya mambo utayasikia tu.

waulize walioomba sensa

8.wazanzibari hawana makuu...yeye akienda kuendesha boda boda akatimiza malengo saa nne asubuhi basi anarudi kulala na mke wake

hawana mambo ya kulazimisha mtu kwenye biashara wala kuita ita uje kununua

akitaja bei hata hana haja ya kukuuliza una shingapi,ukishindwa ondoka ataishia kusema Si riziki...

konda wa daladala kama hana chenchi anakurudishia hela yako uende bila matusi wala kashfa...konda akiita mtu mara moja harudii na mara nyingine anamuomba abiria siti hasa hasa ikiwa jioni kachoka,konda anakaa abiria anasimama

9.wageni wengi ndio wanawasanua akili sasa hivi wanaamka kiasi,lakini wameamka kipindi ambacho wengi wamepigwa gap kubwa sana.

uzuri kihistoria hakuna mmiliki halali wa hivi visiwa lakini kwa sasa mambo mengi yamekamatwa na wageni hasa wahindi na waarabu,wabantu wana hali mbaya sana za kiuchumi...ukimkuta masikini zanzibar ni masikini kweli kweli

10.wanapenda umwinyi na kusifiwa au muhindi

wewe ukimwona mweupe mwite mwarabu basi anafurahi sana,zawadi mpe kanzu na balaghashia

kama unataka demu basi anzia hapo kwenye kumwita mwarabu,na wao huwa wanasema wao ni waarabu,kumbe ni mazao ya muingiliano huo uliotokea zamani kati ya wageni mbalimbali waliokua wakifika hapa kwa shughuli zao.

ila wao wanachojua kwao ni Oman

All in All.....Zanzibar kuzuri kuishi sana ila usiwe na makuu,hautapata huduma nyingi kwa haraka na nafuu kama ulivyozoea bara

hakuna bar na gesti holela mtaani,ni mara chache sana kupishana na mlevi na akitokea mtu anakatiza mahala kalewa basi wanaitana mtaa mzima kuja kumshangaa.

Good observation in deed.
 
Back
Top Bottom