1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 585
- 2,467
1.Yanga 5 Simba 1
2. Kibu Dennis kupondwa na mashabiki na sasa anatakiwa Wydad
3.Clatous Chota Chama kudaiwa kuuza mechi vs Yanga
4.Ayoub Lakred kupondwa na sasa anaombwa radhi
5.Mzee wa Objectives Robertinho kushangilia sare ligi ya
NBC
6. Simba kufuzu ligi ya mabingwa hatua ya makundi kwa
mbinde
7.Mangungu kugoma kujiuzulu licha ya makelele ya
washabiki na wanachama wa Simba
8.Migogoro ya ndani kwa ndani ktk klabu ya Simba
9.Tajiri Mo Dewji kutoa maneno yenye ukakasi kwenye
mitandao ya kijamii kila Simba inapopata matokeo
mabaya
10.Wachezaji waliokuwa wakikaa benchi Simba kupangwa
kwenye gemu vs Wydad
2. Kibu Dennis kupondwa na mashabiki na sasa anatakiwa Wydad
3.Clatous Chota Chama kudaiwa kuuza mechi vs Yanga
4.Ayoub Lakred kupondwa na sasa anaombwa radhi
5.Mzee wa Objectives Robertinho kushangilia sare ligi ya
NBC
6. Simba kufuzu ligi ya mabingwa hatua ya makundi kwa
mbinde
7.Mangungu kugoma kujiuzulu licha ya makelele ya
washabiki na wanachama wa Simba
8.Migogoro ya ndani kwa ndani ktk klabu ya Simba
9.Tajiri Mo Dewji kutoa maneno yenye ukakasi kwenye
mitandao ya kijamii kila Simba inapopata matokeo
mabaya
10.Wachezaji waliokuwa wakikaa benchi Simba kupangwa
kwenye gemu vs Wydad