TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
yeah, jahazi la alawanzi..........namwona mbunge anacheki kwa makini,labda atanusuru jahazi
yeah, jahazi la alawanzi..........namwona mbunge anacheki kwa makini,labda atanusuru jahazi
Yaache hayo ma dental chairs yawe hivyo, cha ajabu nini? India imejaa tele tutaenda kutibiwa huko. Miaka 50 ya mafanikio ndio hiyo. Ambulance za bajaj ni mafanikio makubwa sana ya miaka 50. Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele.
CCM hoyeeeeeeeeeeeee. Acha kuvuruga AMANI ya Tanjania.