Mama yangu! na hapa ni mjini, vipi huko kijijini?

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
1618579.jpg
6846757.jpg
9087395.jpg


NI CHUMBA CHA HUDUMA YA MENO MOROGORO
Wavuti - Home
 
Nouma Halafu tunatumi mabiloni ya hela kusheherekea miaka 50 ya uhuru? Amakweli magamba mmetumaliza na mnatakiwa mwendoke kwa ustaarabu mwachie watakaoweza kutuongoza
 
Huyu mbunge wa moro naye kjiazi tu, hajawahi kuchangia hata neno moja/hata kwa maandishi bungeni, Division 0 ya Forest Hill, kwenye kampeni hata ile 'Kidumu chama cha mapinduzi' alikuwa anasoma kwenye karatasi
 
Huyu mbunge wa moro naye kjiazi tu, hajawahi kuchangia hata neno moja/hata kwa maandishi bungeni, Division 0 ya Forest Hill, kwenye kampeni hata ile 'Kidumu chama cha mapinduzi' alikuwa anasoma kwenye karatasi

hahahaha aisee nimecheka sana..,dah hii inji bana
 
Sasa Hiyo ndio Miaka Hamsini ya Uhuru!! Tumejaribu, Tumeweza Tunasonga Mbele!! Ila huyo Mbunge naona shida ipo kwa wana Morogoro Wenyewe!!
 
DMO na RMO mko wapi? RMO Dr.Mk...t.. wewe mama huko wapi ?Si useme kazi imekushinda basi?
 
Mweh!
Afu unategemea dr anaefanyia kazi hapo aache kusimamia grocery yake akae hapo! Hata hygiene na sterility hapo inatoka wapi!
 
Mweh!
Afu unategemea dr anaefanyia kazi hapo aache kusimamia grocery yake akae hapo! Hata hygiene na sterility hapo inatoka wapi!

kazi ipo
hapo hata mgonjwa nae hawezi pona ,kwaaaanza ndio ugonjwa utazidi,hivi pesa zote tunazotoa kama kodi zinapelekwa wapi?
 
Yaache hayo ma dental chairs yawe hivyo, cha ajabu nini? India imejaa tele tutaenda kutibiwa huko. Miaka 50 ya mafanikio ndio hiyo. Ambulance za bajaj ni mafanikio makubwa sana ya miaka 50. Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele.

CCM hoyeeeeeeeeeeeee. Acha kuvuruga AMANI ya Tanjania.
 
kwenye uzi kama huu, huwezi kuwaona akina FF na vijakazi wenzie.....

hapa tangu Nyerere aliponunua hivyo vifaa ndo basi tena.............miaka hamsini, na vifaa vina miaka 50...kudadadeki CCM.
 
Shame shame shame on us all for allowing such kind of things to be part and parcel of our daily lives! We had an opportunity last to change things but as usually after some few kangas and t-shirts, nothing came out of it. Sometimes even if you pray to God to help hawezi alitupa chance tukaichezea!
 
Hivi vifaa inabidi vipelekwe uwanjani siku ya sherehe za miaka 50 ya uhuru kama ukumbusho
 
Back
Top Bottom