Mama yake Mtela Mwampamba ni mwanachama wa CHADEMA

Mama yake Mtela Mwampamba ni mwanachama wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Hivi haji tena Arusha awamu hii maana mwingulu madelu nchemba anategemewa kuja kesho!!!vp na yule shosti Shonza kapotelea wapi!!!!??

Daffi
Unafiki na usaliti ktk vyama ni sawa na uhaini ndani serikali. Nchi nyingi duniani hukumu ya uhaini ni KIFO tena cha kunyongwa mpaka kufa. Ukisha fanya usaliti ktk vyama upinzani na kujiunga hasa chama tawala, tayari mtu huyo amekuwa amepoteza kabisa kuaminika ndani ya jamii husika. Hata kwenye chama tawala, utaambulia kupewa nafasi za propaganda ili mwisho wa siku ujianike vizuri mbele ya jamii na baada ya muda thamani iishe na kutopea na chama tawala kutakutupa kama biggie ilokwisha utamu. Haya yatawakuta Shonza au Mtela Mwampamba. Aibu kubwa sana kwa vijana wa kibongo.
 
Hapo anatetea udiwani wake tuu lakini rohoni anajua cdm ni mali ya kaskazini
 
Asante mama, msamehe mwanao hakulijua lile aliloli tenda hivyo laana yako isimpate.
 
attachment.php

mama anaonekana ana afya njema, yupo vizuri, eehee, biblia inasema waheshimu baba yako na mama yako upate heri duniani,,,,,,,,,,,,
 
mama mama mama mama huyoooo mama mama huyoo mamaaaa!!!!!!! Wazazi wetu ni miungu wetu wa duniani

Sijawahi kuona mungu anaependa uzinzi,labda mungu wenu Ni Sheitwani laana tuullah. miungu ipo mingi lakini Mungu WA kweli mmoja Tu Subannah u'atallah ambae hasapoti uasherati na uzinzi!
 
Watch "Freeman Mbowe alipomfagilia JK kwa juhudi zake za kuendeleza miundombinu Tanzania" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=vlH-YG_Kmnw&feature=youtube_gdata_player

Hii habari uliyileta aiusiani na mada inayojadiliwa hapa. Wewe ni kijana mdogo sana kiumri na kisiasa, njaa itakupotezea jitihada pamoja na ndoto zako. Acha kutumika kwa maslahi ya watu huku ukijiharibia maisha na kijichafua kisiasa. Ngoja awamu hii ikatike utaisoma na mba vizuri.....
 
Kati ya Mambo aliyozungumza mwanamama huyu Shujaa ni Anaunga mkono kwa dhati kufukuza Waasi na Wasaliti CDM.Pili ana Imani kubwa na Uongozi wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa na tatu Atakipigania CDM katika uhai wake wote.

Asante Mama Mwampamba.Ndaga Fijo Mama!
 
Sijawahi kuona mungu anaependa uzinzi,labda mungu wenu Ni Sheitwani laana tuullah. miungu ipo mingi lakini Mungu WA kweli mmoja Tu Subannah u'atallah ambae hasapoti uasherati na uzinzi!

Acha kumtukana mama yetu mama Mwampamba wewe!
 
Siasa bila majungu zinawezekana pia jamani. Ni wangapi wanatofauti za kiitikadi na wazazi wao?
Mkuu, kitu cha ajabu hapo sio kutofautiana kiitikadi na ndugu wa karibu kama baba, mama au mke. Kitu cha ajabu ni kusema CHADEMA ni chama cha watu wa Kaskazini huku ukijua mama yako yupo CHADEMA na ni mtu wa Ichenjezya. Sasa, je, Ichenjezya ipo Kaskazini?
 
Siasa bila majungu zinawezekana pia jamani. Ni wangapi wanatofauti za kiitikadi na wazazi wao?

tabu si majungu ila ni ukweli kuhusu kauli. Ikiwa wewe unapiga vita kabila fulani ilhali mzazi wako ni kabila husika inamaana gani? Wewe ni mkristu unawasema vibaya waislam na mzazi wako ni mwislam utakuwa na tofauti gani na mtu anayemkataa mzazi wake?
 
Twende kwanye issues acheni kumuongelea huyo bwamdogo mtamvimbisha kichwa!!!!!
 
Mama Mwampamba ameahidi kuzunguka nchi nzima kulaani Wasaliti na Waasi waliotumwa na CCM kujaribu kuvuruga CDM.

Ndaga Fijo Mama!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom