Mama yake Mtela Mwampamba ni mwanachama wa CHADEMA

Mama yake Mtela Mwampamba ni mwanachama wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Habari ambazo ninazo lakini sijazithibitisha(naendelea kufatilia kutoka kwa mtu wangu wa jikoni)ni kwamba huyu Mtella Mwampamba,Juliana Shonza,na Habib Mchange wanajiandaa na kujiunga na chama kipya ambacho Boss wao mr Z.Kabwe anaelekea huko na kufanya makazi yake ya kudumu katika siasa za Tanganyika. Ila pia nimeambiwa kuwa shughuli pevu iko kwa huyu bwana Mtella na dada Juliana,kwani hawa wawili wako njia panda kutokana na kujiunga na kuwa wanachama wa CCM hapa siku za karibuni wakitokea CDM na sasa wanataka wamfuate Boss wao kwenye chama kipya.
Bado naendelea kuzifuatilia habari hizi kutoka kwa mtu wangu wa jikoni
 
mama yangu mzazi anaitwa marry mgala ni mwalimu wa shule ya msingi mlowo mbozi mbeya na sio mwanasiasa wala diwani.rose kamili mke wa katibu mkuu wa chadema alikuwa diwani wa ccm mpaka 2010 huku slaa akiwa katibu mkuu wa chadema.
 
Yaani mmemuona Mtela tu kwani Mzee wenu Wassira hana watoto huko CHADEMA kwenye Saccoss yenu ? Itikadi zinatofautiana tu lakini maisha yanasongaa..
Tunazungumzia matusi sio itikadi. Hata mimi mke wangu ni mtu wa ccm lakini tunalala kitanda kimoja. Mtela amekuwa akiwatukana sana viongozi wa Chadema kumbe na mama yake yuko huko ndilo tunalosema ni laana. Watoto wa Wassira ulisikia lini wakitukana? Au mtoto wa Mashishanga naye lini? Hao ndio wanajua tofauti ya itikadi sio ugomvi au ukosefu wa adabu.
 
Hivi haji tena Arusha awamu hii maana mwingulu madelu nchemba anategemewa kuja kesho!!!vp na yule shosti Shonza kapotelea wapi!!!!??

shosti mara nyingi anapatikana viunga vya kimboka by night na ambiance
 
Kila mtu yupo sahihi Mtela na
mamaye wote wapo sahihi
maana katiba imetoa uhuru wa
kila mtu kuabudu kupitia dini
aipendayo na kujiunga ama
kushabikia chama cha siasa
akipendacho ili mradi havunji
sheria za nchi.

Mkuu uko sahihi...tatizo ni huyu Dogo Mwampamba na kashfa kwa chama anachokitumikia mama yake.!
 
mama yangu mzazi anaitwa marry mgala ni mwalimu wa shule ya msingi mlowo mbozi mbeya na sio mwanasiasa wala diwani.rose kamili mke wa katibu mkuu wa chadema alikuwa diwani wa ccm mpaka 2010 huku slaa akiwa katibu mkuu wa chadema.

mkuu kwa hiyo huyo kwenye picha ni nani.?
 
Kila mtu yupo sahihi Mtela na
mamaye wote wapo sahihi
maana katiba imetoa uhuru wa
kila mtu kuabudu kupitia dini
aipendayo na kujiunga ama
kushabikia chama cha siasa
akipendacho ili mradi havunji
sheria za nchi.

Nani kasema Uhuru wake hana,hoja ni matusi yake kwa viongozi wa cdm kumbe ndiyo upande yuko Bi mkubwa wake,tena bi mkubwa ni kamanda kweli kweli.
Biblia imeandika,mtoto -------- ni mzigo kwa *****.
 
Kumbe ata mke hana, Wacha wakaanzishe chama chao cha .........................!
 
Mama mzazi wa Mtela Mwampamba ambaye ni diwani wa viti maalumu CHADEMA akiwahutubia wananchi wa Vyowa na kuwaomba waachane na CCM kwani ni chama kilicho poteza uhalali wa kutawala na kimeendelea kuwafanya watanzania wawe maskini kila kukicha kwa sera na mipango mibovu.

Mama huyo amewataka wanawake kuunganisha nguvu na kushirikiana na waume zao na familia zao ili kumng'oa mkoloni CCM, Amewaasa watanzania kuhakikisha CCM haibaki madarakani mwaka 2015 na pia watumie operation ya M4C pamoja daima ili kuzidi kuwa wamoja baada ya propaganda mbaya za CCM za ukanda na udini.

..Kama mnakumbuka Mwampamba amekuwa akighani kila siku kuwa CHADEMA ni chama cha ukanda na ukabila... Hayo hapo juu ni maneno ya mama yake mzazi leo mkoani Mbeya.

mama mwampamba.jpg

Pichani ni Mama Mwapamba..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom