Lucas mwashamba
Member
- Jul 30, 2025
- 97
- 324
Ndugu zangu watanzania,
Mama ni mama lakini si mama wakambo mana mama wa kambo yupo kwa ajili ya maslahi ya wanawe na ndugu zake wakalibu lakini ni nadra mama wa kambo kujali watoto wa mumewe ikiwa mumewe hayupo hai
Nilijitahidi kumtetea mama wa kambo nyumbani na kuwa ambia ndugu zangu kuwa mama yetu ni mzuli na ni mpole na ana mapenzi na sisi ingali baba katuacha na kutangulia mbele za haki na kutuacha katika malezi ya mama na umiliki wa mama
Mama yetu kipenzi wa kambo alianza kuuza mashamba yetu tuliyo kuwa tukilima na baba pamoja na familia yetu kwa ujumla pia mashamba yetu Yale ndo yalikua tegemezi kwetu lakini mama yule wa kambo aliuzia watu wa kwao bila kujali sisi tutaishije
Licha ya kuuza mashamba yetu bado aliendelea kuuza viwanja vyetu vya urithi tuliolisishwa na baba kwa ndgu zake huku SI tukikosa mahali oakujenga na familia zetu
Licha ya haya yote mi niliendelea kuwa upande wake na kumtetea huku akiwa kaniahidi nami nitakuwa mnufaika wa Kodi za jengo letu pale sokoni nami nikiwa na furaha na kuwasaliti ndugu zangu wa damu kwa kumpenda mama wa kuja na kuwaacha ndugu zangu wakilia kwenye Lindi la umaskini huku mama wa kambo na nduguze wakiogelea minoti toka kwenye mauzo ya mashamba yetu, viwanja vyetu na Kodi ya jengo letu
Lakini Leo hii katika mgao wa watakao simamia pango la jengo letu na kula mema ya Kodi la pango mi simo mama wa kambo kaleta nduguze eti ndo waje watusimamie nami nimepigwa chini katika kusimamia Kodi ya pango letu na alikuwa ameniahidi kuwa nami nitakuwa mmoja wa wala mema wa Kodi
Leo hii ndugu zangu NIMEBUBUJIKWA NA MACHOZI YA HUZUNI na kujutia usaliti kwa familia yangu na nawaomba msamaha ndugu zanguni wote nilio wakosea naombeni mnisamehe sana ndugu yenu ni NJAA tu ndo zilifanya niwasaliti
Mama ni mama lakini si mama wakambo mana mama wa kambo yupo kwa ajili ya maslahi ya wanawe na ndugu zake wakalibu lakini ni nadra mama wa kambo kujali watoto wa mumewe ikiwa mumewe hayupo hai
Nilijitahidi kumtetea mama wa kambo nyumbani na kuwa ambia ndugu zangu kuwa mama yetu ni mzuli na ni mpole na ana mapenzi na sisi ingali baba katuacha na kutangulia mbele za haki na kutuacha katika malezi ya mama na umiliki wa mama
Mama yetu kipenzi wa kambo alianza kuuza mashamba yetu tuliyo kuwa tukilima na baba pamoja na familia yetu kwa ujumla pia mashamba yetu Yale ndo yalikua tegemezi kwetu lakini mama yule wa kambo aliuzia watu wa kwao bila kujali sisi tutaishije
Licha ya kuuza mashamba yetu bado aliendelea kuuza viwanja vyetu vya urithi tuliolisishwa na baba kwa ndgu zake huku SI tukikosa mahali oakujenga na familia zetu
Licha ya haya yote mi niliendelea kuwa upande wake na kumtetea huku akiwa kaniahidi nami nitakuwa mnufaika wa Kodi za jengo letu pale sokoni nami nikiwa na furaha na kuwasaliti ndugu zangu wa damu kwa kumpenda mama wa kuja na kuwaacha ndugu zangu wakilia kwenye Lindi la umaskini huku mama wa kambo na nduguze wakiogelea minoti toka kwenye mauzo ya mashamba yetu, viwanja vyetu na Kodi ya jengo letu
Lakini Leo hii katika mgao wa watakao simamia pango la jengo letu na kula mema ya Kodi la pango mi simo mama wa kambo kaleta nduguze eti ndo waje watusimamie nami nimepigwa chini katika kusimamia Kodi ya pango letu na alikuwa ameniahidi kuwa nami nitakuwa mmoja wa wala mema wa Kodi
Leo hii ndugu zangu NIMEBUBUJIKWA NA MACHOZI YA HUZUNI na kujutia usaliti kwa familia yangu na nawaomba msamaha ndugu zanguni wote nilio wakosea naombeni mnisamehe sana ndugu yenu ni NJAA tu ndo zilifanya niwasaliti