Mama Samia aiteka Vunjo

Mama Samia aiteka Vunjo

Kweli Tuko nimechapia du! kuna mtu alikuwa ananiongelesha "You might be correct" sasa waweza zi-recycle tena ili tuupate ukweli

1.jpg


2%25281%2529.jpg


Hizi hapa boss

Habari ya tarehe 25 August, 2015. Ipo sehemu nyingi mitandaoni, lakini unaweza pia kuipata hapa
MGOMBEA MWENZA -CCM MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AITEKA ROMBO NA VUNJO KWENYE KAMPENI LEO | H@ki Ngowi
 
viongozi wa kampeni wa mama sulu akina wema wapo wapi
 
Hapa kazi tu,Magufuli atosha sanaaaaa,wengine wa nini,hatuwahitaji hao kwa kuwa hawana dira wala mpango na sisi wananchi wa chini,wetu Magufuli tu,anatosha sanaaaa,,,,,mwingine hana nafasi
 
Maelfu ya wanawake Jimbo la VUNJO wamejitokeza kumpokea Mama Samia, miongoni mwa wanawake hao wengine wanatoka chadema. Aidha wamemtaka katika serikali yake ajitahidi kuhakikisha anaboresha miundo mbinu jimboni hapo swala ambalo limekuwa ni changamoto ya muda mrefu.
DSC_0155.jpg

DSC_0171.jpg


DSC_0182.jpg


DSC_0189.jpg

DSC_0193.jpg

DSC_0195.jpg

DSC_0221.jpg

DSC_0222.jpg

DSC_0234.jpg

DSC_0245.jpg

DSC_0267.jpg

Hakika huyo ndiye makamu wa rais wetu
 
Hapa kazi tu,Magufuli atosha sanaaaaa,wengine wa nini,hatuwahitaji hao kwa kuwa hawana dira wala mpango na sisi wananchi wa chini,wetu Magufuli tu,anatosha sanaaaa,,,,,mwingine hana nafasi

Hakika umenena
Huyu ndiye rais
 
Mama samia hana mpinzan
Hata huyo babu duni hawez kitu kwa yule mama
 
Back
Top Bottom