Maelfu ya wanawake Jimbo la VUNJO wamejitokeza kumpokea Mama Samia, miongoni mwa wanawake hao wengine wanatoka chadema. Aidha wamemtaka katika serikali yake ajitahidi kuhakikisha anaboresha miundo mbinu jimboni hapo swala ambalo limekuwa ni changamoto ya muda mrefu.