January Makamba anajisikiaje kusimamia Bwawa la Umeme la Nyerere?

JF Member

JF-Expert Member
Dec 14, 2014
7,391
9,665
Ama kweli mchawi mpe mtoto akulelee.

Hapo mwanzoJ Makamba akiwa kwenye mazingira alikuwa kwenye jopo la kuandaa report Uharibifu wa mazingira ya bonde la mto rufiji ambako bwawa la Umeme la Nyerere linajengwa.

Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.

Sasa kapewa asimamie lile bwawa akiwa kama waziri wa Nishati.

Bahati nzuri tu ni kwamba hata UNESCO walishaamua lijengwa baadaya mvutano mkubwa sana ikiwemo kupigiwa kura kwamba lile bonde liondolewe kwenye urithi wa dunia. Wakati wa kupiga kura wengi waliamua lisiondolewe.

January anaweza asilihujumu kweli?
 
Ama kweli mchawi mpe mtoto akulelee.

Hapo mwanz0oJ Makamba akiwa kwenye mazingira alikuwa kwenye jopo la kuandaa report Uharibifu wa mazingira ya bonde la mto rufiji ambako bwawa la Umeme la Nyerere linajengwa.

Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.

Sasa kapewa asimamie lile bwawa akiwa kama waziri wa Nishati.

Bahati nzuri tu ni kwamba hata UNESCO walishaamua lijengwa baadaya mvutano mkubwa sana ikiwemo kupigiwa kura kwamba lile bonde liondolewe kwenye urithi wa dunia. Wakati wa kupiga kura wengi waliamua lisiondolewe.

January anaweza asilihujumu kweli?
Wewe ulitaka ajiskiaje? Upumbavu utawaisha lini nyie watu?
 
Ama kweli mchawi mpe mtoto akulelee.

Hapo mwanz0oJ Makamba akiwa kwenye mazingira alikuwa kwenye jopo la kuandaa report Uharibifu wa mazingira ya bonde la mto rufiji ambako bwawa la Umeme la Nyerere linajengwa.

Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.

Sasa kapewa asimamie lile bwawa akiwa kama waziri wa Nishati.

Bahati nzuri tu ni kwamba hata UNESCO walishaamua lijengwa baadaya mvutano mkubwa sana ikiwemo kupigiwa kura kwamba lile bonde liondolewe kwenye urithi wa dunia. Wakati wa kupiga kura wengi waliamua lisiondolewe.

January anaweza asilihujumu kweli?
Achana kabisa na wanasiasa noma sana

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mbona wengine walihubiri Chanjo hazifai hadi wakatoka na mapovu, leo ndiyo wahamashishaji wakuu ili tukachanje.. hao nao waingine kwenye bandiko lako ili u-balance story.
Sasa mtu type ya Makamba utamchaguaje siku moja aje kuwa Rais wa Nchi?

Mtu ambaye Hana msimamo

Kosa la mtu mmoja haliwezi kuhalalisha la mwingine.
 
Sasa mtu type ya Makamba utamchaguaje siku moja aje kuwa Rais wa Nchi?

Mtu ambaye Hana msimamo

Kosa la mtu mmoja haliwezi kuhalalisha la mwingine.
Upepo wa kisiasa hubadilika ghafla hasa ukiwa ndani ya CCM. Kwa mfano ukiambiwa utaje vijana watano ndani ya CCM ambao ni presidential material Makamba huwezi kumwacha kabisa.
 
Upepo wa kisiasa hubadilika ghafla hasa ukiwa ndani ya CCM. Kwa mfano ukiambiwa utaje vijana watano ndani ya CCM ambao ni presidential material Makamba huwezi kumwacha kabisa.
Hata Lowasa alikuwa hivi.
 
Kujenga sio kwamba "amekubaliana" na uharibifu huo wa mazingira

Yeye kama yeye mwanadamu hapendi huo uharibifu,ila demokrasia imekaa wengi wamepitisha,yeye upande wake haukushinda,hivyo lazima aache maamuzi ya walioshinda yafanyike

Democratic process imefanyika,wengi wameshinda,yeye hana namna lazima afuate hayo maamuzi,na kuyafuata sio kwamba anakubaliana nayo yeye binafsi

Hebu jielewe basi
Swali langu liko wazi kabisa.

Najielewa mno.. Ila wewe ndo hujaelewa.
 
Tundu Lisu alihubiri Lowasa ni fisadi alafu baadae akawa mbeba mabegi wa Lowasa mabadilikooooooo
 
Ama kweli mchawi mpe mtoto akulelee.

Hapo mwanzoJ Makamba akiwa kwenye mazingira alikuwa kwenye jopo la kuandaa report Uharibifu wa mazingira ya bonde la mto rufiji ambako bwawa la Umeme la Nyerere linajengwa.

Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.

Sasa kapewa asimamie lile bwawa akiwa kama waziri wa Nishati.

Bahati nzuri tu ni kwamba hata UNESCO walishaamua lijengwa baadaya mvutano mkubwa sana ikiwemo kupigiwa kura kwamba lile bonde liondolewe kwenye urithi wa dunia. Wakati wa kupiga kura wengi waliamua lisiondolewe.

January anaweza asilihujumu kweli?
SIHASA.....wanasiasa siyo watu wa kuwatilia maanani....anaweza akasema mlimnukuu vibaya
 
Mbona wengine walihubiri Chanjo hazifai hadi wakatoka na mapovu, leo ndiyo wahamashishaji wakuu ili tukachanje.. hao nao waingine kwenye bandiko lako ili u-balance story.
💔Kwa hiyo unafiki Ni Hadi yetu!
 
Lini UNESCO waliamua lijengwe?
Ama kweli mchawi mpe mtoto akulelee.

Hapo mwanzoJ Makamba akiwa kwenye mazingira alikuwa kwenye jopo la kuandaa report Uharibifu wa mazingira ya bonde la mto rufiji ambako bwawa la Umeme la Nyerere linajengwa.

Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.

Sasa kapewa asimamie lile bwawa akiwa kama waziri wa Nishati.

Bahati nzuri tu ni kwamba hata UNESCO walishaamua lijengwa baadaya mvutano mkubwa sana ikiwemo kupigiwa kura kwamba lile bonde liondolewe kwenye urithi wa dunia. Wakati wa kupiga kura wengi waliamua lisiondolewe.

January anaweza asilihujumu kweli?
 
WAAFRIKA KULA MATAPISHI NI KAWAIDA, HE WILL DRAG HIS FEET KWENYE UTEKELEZAJI HIYO NI OBSIVIOUS
 
Back
Top Bottom