Labda marehemu aliacha wosia akifa azikwe kisutuMakaburi ya kisutu tena, nkadhani huko Lindi sijui Mtwara
Pole sana Mh Rais mstaafu, Poleni sana Mwalim wangu oysterbayMke wa rais wa zamani wa Tanzania Kikwete , Salma Kikwete amefiwa na baba yake mzazi, mzee Rashid Mkwachu hii.
Kwa mujibu wa mbunge wa Chalinze, Ridhwani Kikwete mazishi yatafanyika kesho saa 10 jioni kwenye makaburi ya Kisutu.