Ukisikia nepotism ndo hii, tunatafuta rais wa JMT sio laigwani, yaani baba huku mama kule mtoto anabeba furushi la hela, hivi hii nchi haina maadili ya uchaguzi? Au ndo kukosa kazi huko?
Mke wa lipumba haonekani jukwaani kwani kitendo cha kushiriki siasa kesho yake lazima atimuliwe kibarua. Sasa huyu kiguu na njia, kazi tunayo.