Mama Regina Lowassa Leo

unapigwa miti ...?
 
Huyu mama anamvuto japo muri umesha enda sipati picha alivyo kuwa at 25 age. Lowassa alionga sana inaonekana
 
Yani First Lady wetu bado yuko ngada kinyama!
Bahati mbaya sana akiwa CCM hatukumfahamu vizuri mama huyu, mazingira yalimbana CCM. Ukweli mama huyu amekuwa kivutio kikubwa kwa wanaomfutilia. Tumuombee awe First Lady hapo ndipo atavutia wengi zaidi.
 
Kama mmeipenda sura yake nendeni mkanywe nae chai.rais Dr Magufuli hapa kazi tu kuuza sura hakuna .
 
Imetokea kumpenda sana mama Lowassa yuko active sana, na anajua kujichanganya na kila kundi la jamii analokutana nalo. Liwe la vijijini, mjini, wasomi, vijana na wanawake. Ni aina ya mama wa kupigiwa mfano.
 
Lowassa alipata mke aisee sisi tunakaa na manawake ukiliambia chagua ukawa mtavyobishana utasema hawara yako

Nimecheka sana mkuu kwa hiki ulichoandika kumbe tuko wengi ila mimi nimepata njia mBADALA nitaficha Card yake hadi muda wakupiga Kura uishe
 
Nimecheka sana mkuu kwa hiki ulichoandika kumbe tuko wengi ila mimi nimepata njia mBADALA nitaficha Card yake hadi muda wakupiga Kura uishe

Ndio maana ndoa zetu hazidumu unakuta mwanamke ana maamuzi yake na ww mwanaume ya kwako ndani ya nyumba hakukariki
 
Huyu mama atakuwa first lady wa kipekee sana na naamini nchi itakuwa katika mikono salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…