mama nyerere amuige mama Karume kuwa kimya?

muhogomchungu

JF-Expert Member
Jan 9, 2011
375
3
mama nyerere amuige mama Karume

Haiptiki wiki utamsikia mama MARIA nyerere akitajwa kwenye vyombo vya habari
anazungumzia siasa.Cha ajabu anashirikiana na Chadema kuinadama ccm. Mfano
wakati wa kuwapongea viongozi wa chaema kwake.
uhai wa baba wa taifa mama huyu angalijotekeza?.jee kwanini asiige nyayo za mama karume kuwa kimya?
kupumzika kisiasa? jee mama yetu huyu angalikuwa tayari kumkosoa baba wa taifa wakati
 
Unatafuta laana, muache mama wa watu aseme, uzee maana yake busara na kushauri, huyo aliekaa kimya hana cha kusema si kwamba anapenda kuwa kimya.
 
mama nyerere amuige mama Karume

Haiptiki wiki utamsikia mama MARIA nyerere akitajwa kwenye vyombo vya habari
anazungumzia siasa.Cha ajabu anashirikiana na Chadema kuinadama ccm. Mfano
wakati wa kuwapongea viongozi wa chaema kwake.
uhai wa baba wa taifa.jee kwanini asiige nyayo za mama karume kuwa kim

did you pass standard 1. am not sure of that
 
Hakuna Mtu yoyote anaeongelea Makosa ya Karume kama wanavyomuongelea Mwl. Nyerere angalia Rais wako wa sasa anavyomsema kuwa Nyerere kazi ilimshinda ikabidi ajiondoe bado nchi ilikuwa na shida na hakuweza kuwasaidia.

She has a right to speak and defend her Husband Legacy.
 
Ngoja usikie aloyasema leo kuhusu hao unasema anaoshirikiana nao.
 
kama anawasupport Cdm kina kuuma nini mbona wewe unasuport mafisadi na jiserekali lao hovyo. Better shut ua big mouth
 
Back
Top Bottom