Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,998
- 453,891
Mkuu nakutafutaMukiwa katika kujadili jiulizeni bira shahawa uyo mama angekuwa Nani?
Mkuu nakutafutaMukiwa katika kujadili jiulizeni bira shahawa uyo mama angekuwa Nani?
Wanashangaza sana. Wanafikiri kila mtu anaendeshwa na hizo stori zao...Hahaha huyo ustaadhi amelewa
Muda mwingine kutukanwa ni halali yenu. Huwezi kuleta mada inayojipinga yenyewe na ukategemea watu waisapoti..Nimeona nikae kimya sababu naona Kuna mmoja kaamua kunitusi kabisa nimeshangaa sana
Baba asiejua majukumu ndio wa hovyo, ila ambae anawapenda na kuwajibika juu yenu ni sawa tu na mama.
Mkuu yani umemaliza kila kitu. Mtu anabagua wazazi kwa majukumu ya kiasili anasahau wapo hata hao wamama wanazaa watoto wao na kuwaua...Si kweli, labda kama majibu/hoja hizo zitatolewa na akina mama wenyewe ili kujitibu syndrome ya udhaifu wanaohisi kuwanao ingawa si kweli wadhaifu.
Mama bila support ya baba, mimba kwake ni msalaba.
Angalia ni akina baba wangapi wanahangaika kuhakikisha familia zao zinaishi maisha ya kukidhi mahitaji kulingana na hali halisi ya familia husika. Hapa haihusiani na akina baba ambao hawatimizi wajibu wao(kwani hata mama wa hivyo wapo pia).
Namna gani baba wanahangaika kuhakikisha familia ziko salama.
Vinginevyo, malezi ya utotoni kwenye familia nyingi yamejaa makosa yanayopelekea kuwabagua wazazi.
iAdios!
Au naongopa mkuu..Hahaha aise