Fact hizi ndio hoja za msingi mkuuHuyu mama ni ziro kwelikweli,mwanzo tuliaminishwa eti ni mtendaji mzuri,aisee toka kapewa ulaji ni ujinga tu anafanya,sa ivi kaamua kuua elimu kabisa,watoto mashuleni vitabu wanavyotumia ni mtihani sana.
Kweli hajakusaidia. Pole bwana. Maana naona hata uandishi wako ni ule wa kibashitebashite.Wakuu habari zenu!;Hili jina(Ndalichako) nlitokea kulifaham Kiundani na kusmbua akili yangu nkiwa Form Six nikijiandaa na mitihani baada ya kutuchanganyia madesa !!Hivi tangu Awe madalakani (waziri)wewe umeona kafanya nin cha maana??
Tuulzane kuna wakati napataga hasira nikiskia tu jina!!Am sorry kwa fans wake ni Waziri wetu kweli Ebu orodhesha hapo vya maana alivofanya !!Twende sambamba
Ni kweli walivyosema wengine kuhusu namna unavyoandika.Wakuu habari zenu!;Hili jina(Ndalichako) nlitokea kulifaham Kiundani na kusmbua akili yangu nkiwa Form Six nikijiandaa na mitihani baada ya kutuchanganyia madesa !!Hivi tangu Awe madalakani (waziri)wewe umeona kafanya nin cha maana??
Tuulzane kuna wakati napataga hasira nikiskia tu jina!!Am sorry kwa fans wake ni Waziri wetu kweli Ebu orodhesha hapo vya maana alivofanya !!Twende sambamba
Tuanze na yeye, toka ameanza darasa la kwanza mpaka amemaliza kidato cha sita amejifunza nini kama hata kuandika kwa ufasaha hawezi?wasomi wa Tanzania mnatia hasira mnaposhindwa kuandika kiswahili fasaha
Wazili??
Hasila??
madalakani??
acha kujitetea ..ulitakiwa ushukuru wale waliokurekebishaNajua kawaida ya mtz hua anaangalia doa dogo lililopo ktk karatasi kuliko sehem kubwa ambayo haina doa,, Sifanyi kazi BAKITA wakuu
Hauwez ukawa mkamilifu siku zote labda wewe unabahati hyo, kurekebishwa maishan n kawaida na sio jambo la kushangaza kama wengi walivochukulia kifupi niwaite VILAZA ,maana wataulza vilaza maana ake nn?twende sambambaacha kujitetea ..ulitakiwa ushukuru wale waliokurekebisha
Hahahahahunajua kuandika bweha we
Exactly,Mkuu kunaswala la kuaply eti kuna vilaza wachache wanasema mfumo mzuri n mzuri kwa wenye uwezo apo kawabana watoto wa maskini,Kuaply chuo kimoja n 50 ukikosa uaply kingine 50 tena kwa mwanafnzi mwenye hali duni hatoweza kabisa,Anaweza akaaply chuo kmja akikosa basi anaishia apo,Then kuna vyuo vtakosa wanafnz ktokana na ktojulkana na kna wanafnz watachaguliwa vyuo zaidi ya viwili,Matamko yasiyo ya msingi!!Sizungumzi na vilaza wanao kalili mwandko na kuhoji la 7 kama wenyew wana PHD Nazngumza na wanaojielewa Twende sambambaKahakiki vyeti fake ambavyo haviktoka Necta,
Katoa matamko kadhaa,
Kaboresha Elimu kwa kutoktaka walimu wa sanaa wasiajiriwe,
Anajkomba kwa mteule wake,
Hizo nazo hujaziona mkuu!
End of your thinking capacity !;ugum wa kuhonga upo wapi sasa hayo maombi unayoyatma direct chuoni yanachambuliwa na kna nan c watu au Hawahongeki wenyew tofauti na TCU etiKafuta habari ya tcu kukuchagulia chuo now kama ulaya unatafuta chuo mwenyewe ile habari ya baba yako kwenda kuonga tcu na kupelekwa udsm kwisha
We si Mtanzania?wasomi wa Tanzania mnatia hasira mnaposhindwa kuandika kiswahili fasaha
Wazili??
Hasila??
madalakani??