Mama Ndalichako kafanya nini cha Maana

wasomi wa Tanzania mnatia hasira mnaposhindwa kuandika kiswahili fasaha
Wazili??
Hasila??
madalakani??
Nenda ikulu ukamkosoe yule Bossi, kisha urudi hapa.
kila siku unafungua masikio yako yaliyokaa kama ya popo na kusikiliza pumba za bossi wako wa ikulu na kuzifanyia kazi, ila leo hutaki kufanyia kazi mawazo ya huyu mwenzetu. Changia mada kwa jinsi ulivyoelewa, sio kujadili makosa ya kiuandishi. umesikia hapa tunachmbua sentensi kwa njia ya matawi?

kama ww uko kwa jili ya kukosoa makosa ya kuiandishi au ya kimatamshi, nakushauri ukaanzie ikulu.
 
Nachukia sana Mtanzania na ambaye Kiswahili ndiyo lugha yao adhimu nikiona anakosea maneno au kuandika halafu Mimi Mgeni ( Mnyarwanda Mtutsi ) GENTAMYCINE nakijua vizuri sana Kiswahili chenu. Katika Kiswahili fasaha kabisa hakuna neno ' Madalakani ' bali kuna neno ' Madarakani '.

Sasa kama Wewe tu mwenyewe umekosea / umekengeuka hivi kuandika kwa Kiswahili je unadhani hoja zako ulizoziweka dhidi ya Waziri Msomi kabisa Professor Mama Ndalichako zitakuwa na mashiko? Huoni kwamba pengine kabla ya kututaka sisi tuanze kumjadili huyo Waziri yatupasa tuanze Kwanza kuujadili uwezo wako wa IQ ya mapungufu yako yaliyotukuka ambayo yameanza kujionyesha mapema tu katika moja ya aya ( paragraph ) ya uzi wako?
Wewe Mnyarwanda umekuja kufanya nini kwenye huu uzi usiokuhusu? kama una majibu, toa majibu kulingana na ulichoulizwa.
Hivi unamfahamu Dkt. Mgufili ambaye ni Rais wa Tanzania? Hua unaelewa anachoongea, au kipindi anaongea, ww hua anakua bize kusikiliza makosa ktk matumizi ya 'r' na 'l'?
 
Wakuu habari zenu!;Hili jina(Ndalichako) nlitokea kulifaham Kiundani na kusmbua akili yangu nkiwa Form Six nikijiandaa na mitihani baada ya kutuchanganyia madesa !!Hivi tangu Awe madalakani (waziri)wewe umeona kafanya nin cha maana??
Tuulzane kuna wakati napataga hasira nikiskia tu jina!!Am sorry kwa fans wake ni Waziri wetu kweli Ebu orodhesha hapo vya maana alivofanya !!Twende sambamba
mimi naona mama anacheza viduku tu. bado tunaendelea kuinjoi burudani ya viduku vyake ktk haya:
  1. alipandisha vigezo vya kwenda vyuo vikuu kwa watu wa diploma na kisha kushusha. Alipandisha vigezo kua gpa ya 3.5 kisha akashusha mpaka gpa ya 3.0. sasa kwa aibu ameamua kurudisha ileile gpa ya 2.7 (yaani wastani wa B kama ilivyo kwenye muongozo wa sasa wa tcu)
  2. kashauri serikali kutofauata mikataba ya HESLB, kwa kupandisha makato kutoka 8% mpaka 15% kinyume cha sheria.
  3. kashauri kusiwe na TCU Tanzania, na sasa TCU iko inakufa taratibu.
  4. Kondoa penati ktk madaraja kwa wanafunzi waliofeli somo muhimu la hisabati. Kwasasa mwenye F ya hisabati, anaweza akawa na division one au two, ili kuongeza idadi ya division one na two.
  5. kashauri walimu wa ajira mpya wasipewe pesa za kujikimu, ili wasijitume ktk kuwafundisha. hii ni kwasababu watoto wao wako private school.
  6. kaongeza vigezo vya kwenda vyuo vikuu kwa wahitimu wa form six ili kupunguza idadi ya waomba mikopo.
  7. etc
 
Nenda ikulu ukamkosoe yule Bossi, kisha urudi hapa.
kila siku unafungua masikio yako yaliyokaa kama ya popo na kusikiliza pumba za bossi wako wa ikulu na kuzifanyia kazi, ila leo hutaki kufanyia kazi mawazo ya huyu mwenzetu. Changia mada kwa jinsi ulivyoelewa, sio kujadili makosa ya kiuandishi. umesikia hapa tunachmbua sentensi kwa njia ya matawi?

kama ww uko kwa jili ya kukosoa makosa ya kuiandishi au ya kimatamshi, nakushauri ukaanzie ikulu.
Fact
 
Wakuu habari zenu!;Hili jina(Ndalichako) nlitokea kulifaham Kiundani na kusmbua akili yangu nkiwa Form Six nikijiandaa na mitihani baada ya kutuchanganyia madesa !!Hivi tangu Awe madalakani (waziri)wewe umeona kafanya nin cha maana??
Tuulzane kuna wakati napataga hasira nikiskia tu jina!!Am sorry kwa fans wake ni Waziri wetu kweli Ebu orodhesha hapo vya maana alivofanya !!Twende sambamba
Kwa uandishi huu huwezi kuona kitu nakuapia
 
Kashauri makato ya BODI yaongezwe kutoka 8% hadi 15%, Kashauri madaraja yazuiwe, uhakiki ufanyike bila kuisha, na nyongeza ya mshahara kwa Walimu hakuna.
 
Kashauri makato ya BODI yaongezwe kutoka 8% hadi 15%, Kashauri madaraja yazuiwe, uhakiki ufanyike bila kuisha, na nyongeza ya mshahara kwa Walimu hakuna.
Fact nlijua binadam wenye idear makini yakinifu watatoa hoja zao, sio wana taarabu waliotangulia ktoa mipasho ya mwandiko
 
Kajitahidi bodi ya mikopo kwa waliopata mikopo kufika chuoni kwa wakati...yan sasa hivi hela haijawahi kuchelewa hata siku moja baada ya ile nshu ya dodoso kusolviwa...kwa hilo namuunga mkono ndio maana sasa hivi migomo kisa boom kuchelewa hakuna.

Lakin bado anafelo kwenye kutoa mikopo kwa watu wote wenye sifa
 
Wakuu habari zenu!;Hili jina(Ndalichako) nlitokea kulifaham Kiundani na kusmbua akili yangu nkiwa Form Six nikijiandaa na mitihani baada ya kutuchanganyia madesa !!Hivi tangu Awe madalakani (waziri)wewe umeona kafanya nin cha maana??
Tuulzane kuna wakati napataga hasira nikiskia tu jina!!Am sorry kwa fans wake ni Waziri wetu kweli Ebu orodhesha hapo vya maana alivofanya !!Twende sambamba
HUYU MAZA KANISAIDIA NIAMINI KWENYE KAZI TU ,YAANI ULE 2016 ALICHOTUFANYA SEMA SASA HV NINA SHAMBA NAJIANDAA KULIMA SITAKII KUSOMA NI UJINGA 2
 
Back
Top Bottom