Heshima kwenu wana Jamvi, mie mpya mpya hapa jukwaa la Elimu japokuwa huwa nasoma na kuelewa mada mbalimbali, hongereni.
Ndugu nyote, Ndugu mama Ndalichako,
Elimu, Elimu ,Elimu ya Tanzania Mambo ninayo yaona kwenye Elimu ya Tanzania mpaka naogopa jaman, mwanafunzi level ya masterz anameza kila kitu..anakariri akiingia kwa mtihani anatapika km kilivyo halafu anapata 99, kwenye research anadisco! This is crazy! Mpaka naogopa jaman. Ndalichako sijui yuko wapi mama huyu makini na machachari.
Suala la kupima uelewa wa mwanafunzi level ya masterz kwa kufanya mitihani ambayo ana tapika kila alichomeza SIYO SAWA, ndo maana ufanisi huko maofisini na kazi binafsi HAUPO.
NIMESHUHUDIA MWENYEWE, MTU anaandika hadi nukta ilipokaa ya Vitini vya mwalimu, kiukweli Najua wengine ndo Elimu tuliyopitia na tunafurahi kuvuka ila...balaa lake huku mtaani ni shida kubwaa sana.
Msaada tafadhali,
Pendekezo, wanafunzi level ya masterz na kuendelea wasipimwe uwezo wa kumeza na kukariri, wapewe kazi za kufanya ,kutunga katuni, kuandaa bajeti, kuandaa mapendekezo na mipango maalumu ya kujenga uchumi wa nchi, kumeza na kukariri hakusaidii chochote, ni AIBU KWA SERIKALI NA DUNIA NZIMA.
Nawasilisha.
Ndugu nyote, Ndugu mama Ndalichako,
Elimu, Elimu ,Elimu ya Tanzania Mambo ninayo yaona kwenye Elimu ya Tanzania mpaka naogopa jaman, mwanafunzi level ya masterz anameza kila kitu..anakariri akiingia kwa mtihani anatapika km kilivyo halafu anapata 99, kwenye research anadisco! This is crazy! Mpaka naogopa jaman. Ndalichako sijui yuko wapi mama huyu makini na machachari.
Suala la kupima uelewa wa mwanafunzi level ya masterz kwa kufanya mitihani ambayo ana tapika kila alichomeza SIYO SAWA, ndo maana ufanisi huko maofisini na kazi binafsi HAUPO.
NIMESHUHUDIA MWENYEWE, MTU anaandika hadi nukta ilipokaa ya Vitini vya mwalimu, kiukweli Najua wengine ndo Elimu tuliyopitia na tunafurahi kuvuka ila...balaa lake huku mtaani ni shida kubwaa sana.
Msaada tafadhali,
Pendekezo, wanafunzi level ya masterz na kuendelea wasipimwe uwezo wa kumeza na kukariri, wapewe kazi za kufanya ,kutunga katuni, kuandaa bajeti, kuandaa mapendekezo na mipango maalumu ya kujenga uchumi wa nchi, kumeza na kukariri hakusaidii chochote, ni AIBU KWA SERIKALI NA DUNIA NZIMA.
Nawasilisha.