Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,602
Mkuu Meningitis, nakubaliana na wewe kuwa always kuna exceptions to the general rules, lakini hizo exceptions zinatokana na cross breed!. Kama walivyo jews ni blue eyes, hapa bongo kuna dada mmoja anafanya kazi CRDB Bank wazazi wake wote ni wabantu, and she is blue eyes!. Ukizama kwenye DNA utagundua kuna cross breed mahala.if this is your argument,I may simply say ''there is no rule without exception''
halafu naomba nikuulize una uhakika huyo unayemuongelea ni MAMA MZAZI wa siyoi?
Nkizungumzia dorminant traits, hizo huwa zipo and no exception, Wabantu wote nyele zao ni kipilipili na semi nilotic na nilotic nywele zao ni singa, kuna wabantu kibao wenye nywele za singa, lakini hakuna nilotic mwenye nywele za kipilipili!.
Wazungu waki cross breed na wa Afrika, product ni ma half caste, kwa vile Jaluo ni strong breed, ma half caste wa cross breed na Jaluo wanakuwa dark, yaani genes za Jaluo ndio dorminant genes kwenye muungano huo, hivyo uklikuta Jaluo yoyote ambaye sio mweusi, ujue kuna cross breed!.
Hili la mjane wa Jerry Solomon kuwa kama ndiye mama halisi wa Sioi, hili nalo neno!.