Mama Mshuza "Ma Mshuza" nipokeeni ndugu zanguni

Ma Mshuza

Senior Member
Feb 26, 2019
192
1,021
kwa muda mrefu nmekuwa nikifuatilia threads mbalimbali JF katoka majukwaa mbalmbali na leo nmeona nami nijiunge rasmi nisiwe tu nachungulia na kusoma pasipo uwezo wa kuchangia.

nashukuru kwa wale ambao watanipokea kwa nia njema tuweze kujamiana (to socialize) katika mambo mbali mbali ya kiuchumi na kisiasa.

mi ni mkazi wa dar nafanya kazi na biashara binafsi naamini ntajifunza mengi toka kwa wengi humu ndani.
 
kwa muda mrefu nmekuwa nikifuatilia threads mbalimbali JF katoka majukwaa mbalmbali na leo nmeona nami nijiunge rasmi nisiwe tu nachungulia na kusoma pasipo uwezo wa kuchangia.

nashukuru kwa wale ambao watanipokea kwa nia njema tuweze kujamiana (to socialize) katika mambo mbali mbali ya kiuchumi na kisiasa.

mi ni mkazi wa dar nafanya kazi na biashara binafsi naamini ntajifunza mengi toka kwa wengi humu ndani.
Uko pande zipi nije unipe Balimi 2 fasta za moto?
 
kwa muda mrefu nmekuwa nikifuatilia threads mbalimbali JF katoka majukwaa mbalmbali na leo nmeona nami nijiunge rasmi nisiwe tu nachungulia na kusoma pasipo uwezo wa kuchangia.

nashukuru kwa wale ambao watanipokea kwa nia njema tuweze kujamiana (to socialize) katika mambo mbali mbali ya kiuchumi na kisiasa.

mi ni mkazi wa dar nafanya kazi na biashara binafsi naamini ntajifunza mengi toka kwa wengi humu ndani.
Huyu baba Mshuza yuko wapi? Mi pia naishi Dar naitwa Baba Matesha
 
Huu mguno wako huwa unanibariki sana. Hasa ukiutolea kule faragha
Mama nakufa
IMG_20181205_150826.jpeg
 
Back
Top Bottom