AhsanteMama Mkwe
baba mkwe
mashemeji
ni watu wa kuwaweka mbali kiaina
hutakiwi kuwa nao close....sababu unaweza shindwa namna ya kuwatazama usoni
mkishindwana na mtu wako
Mama Mkwe
baba mkwe
mashemeji
ni watu wa kuwaweka mbali kiaina
hutakiwi kuwa nao close....sababu unaweza shindwa namna ya kuwatazama usoni
mkishindwana na mtu wako
ivi hawa bado wanakua referred as wakwe hata kama hamjaoana? maana naonaga uzito kwenye mahusiano kuwaita wakwe...nzigo mpaka ndoa ndo ntaita wakwe
kimjinimjini siku hizi ndo hivyo