Mama mkwe mpiga chabo

Mimi ilishawahi kunitokea, nilishalala na mama mwenye nyumba kama mara 3 kijitonyama, mume wake ni dereva, siku nilipokataa kura nae uroda akanipa notes ya siku tatu, fasta nikahama.
 
Bujibuji ya kweli haya? mpiga chabo na tochi??? nachofikiri akiwa na tochi ataonyesha mwanga ndani na wakiwa wamewasha taa ni rahisi sana yeye kupiga chabo
 
Visa viliendelea, kuna siku akanijia kanuna sana, akawa anasema kuna kibaka anafukuzwa kwa hiyo kakimbilia chumbani kwangu, nikamhakikishia kuwa hamna mtu ameingia, akasema lazima aingie ili amsake na kumtoa nje, nyumba yake isije ikaonekana ni maficho ya wezi na vibaka. Maneno yake yalikuwa makali na mimi nilikuwa nauhakika kuwa hamna aliyeingia.
Nikamruhusu aje kupekua.
Alipokuwa anachungulia uvunguni, akanyanyua juu sketi yake na kubaki utupu kabisa, kwani hakuvaa kile kijivazi kidogo cha ndani, akatoka akanifuata na kuanza kunisogezea mdomo wake kwangu, nikampush nikasema kuwa mimi sio kibaka amchukue kibaka wake kisha aondoke.
Alipo ona nimekuwa mkali sana kwake akaamua kunichunia, na akawaa ananitishia atanifanyia kitu kibaya.
Nikaona isiwe kero nikahama.
Siku yangu ya kuhama akaanza kulia, eti nsihame, ananipenda na hawezi kuishi bila mimi.
Pole sana kama ni story ya kweli. Kwa upande mwingine mama wa watu hukumtendea haki!
 
Visa viliendelea, kuna siku akanijia kanuna sana, akawa anasema kuna kibaka anafukuzwa kwa hiyo kakimbilia chumbani kwangu, nikamhakikishia kuwa hamna mtu ameingia, akasema lazima aingie ili amsake na kumtoa nje, nyumba yake isije ikaonekana ni maficho ya wezi na vibaka. Maneno yake yalikuwa makali na mimi nilikuwa nauhakika kuwa hamna aliyeingia.
Nikamruhusu aje kupekua.
Alipokuwa anachungulia uvunguni, akanyanyua juu sketi yake na kubaki utupu kabisa, kwani hakuvaa kile kijivazi kidogo cha ndani, akatoka akanifuata na kuanza kunisogezea mdomo wake kwangu, nikampush nikasema kuwa mimi sio kibaka amchukue kibaka wake kisha aondoke.
Alipo ona nimekuwa mkali sana kwake akaamua kunichunia, na akawaa ananitishia atanifanyia kitu kibaya.
Nikaona isiwe kero nikahama.
Siku yangu ya kuhama akaanza kulia, eti nsihame, ananipenda na hawezi kuishi bila mimi

Yaani unajifanya ulikuwa mtakatifu?? :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
Sema tu ulim-do tukupe hongera
Mwanamke anajileta mpaka chumbani kwako, anakufunulia unajifanya huelewi??
Acha zako
 
Yaani unajifanya ulikuwa mtakatifu??
Sema tu ulim-do tukupe hongera
Mwanamke anajileta mpaka chumbani kwako, anakufunulia unajifanya huelewi??
Acha zako

Tehe tehe, raha sana! wadau walivyokukomalia???!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom