bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Usimsaliti mkeo kakaangu, unapouliza umle au ufanyeje unamaanisha huwezi jizuia mwenyewe, kumla si shida lakini umsaliti mkeo kwa jimama, je na mkeo akitembea na baba mkwe wa rafkiako ukajua utamsamehe, so stop hata kuwaza hivyo.
mwanamke hutakiwi kuwa mtu wa visasi mamushka!!!!