Usije kujaribu kufanya kosa kama hilo. Nadhan kwanza utakosona rafiki yako, nasema hivi kwa kuwa sijui mna ukaribu gani na huyo rafiki yako. Unadhan akigundua umefanya hicho kitu hata mwambia mkeo? hata kama sio directly anaweza pia akatumia watu wakamwambia mkeo. Na je mke wa rafiki yako(shemejio) atakuchuliaje? Mbali na hilo rafiki yako atakosa imani nawe kabisa na kuhoji ikiwa umeweza kutembea na mama mkwe wake it's very possible pia ukaweza kutembea na mkewe. Please kuna vitu/kesi zingine zinaweza kuepukika kabisa na kuacha kusema ulipitiwa na shetani! Anyway ni ushauri wa bure, as you know there's no free lunch! That's 2 say, "there's a price to pay" baada ya hicho unachotaka kufanya nayo ni MAJUTO. Ningejua nisingefuata baadhi ya ushauri uliopewa na baadhi ya wana JF walio tangulia kukupa ushauri. Ila kama umewahi kusoma Physics kuna Newton's third law of Motion wich states that"For every action, there is an equal and opposite reaction" Hii ina apply katika maisha yetu hata kama hujawahi kusoma Physics.Kila la kheri kaka.
Tayari uwanja umeandaliwa, mbwa wa Police wa kumwaga mzee, farasi kibao, no live, no watazamaji ngoma itachakachuliwa weekend baada ya maandalizi mazito, mechi na vilabu vya zamani usiombe mkuu, ya kale dhahabu kaka, kipya kinyemi baba, utapewa yalojiri, ya moto, ya uvuguvugu, ya baridi, sorry size sikupi...Mg bado tu hujampa haki yake huyo maza?
Do you knw why English ppl used to say that "I NOW PRONOUNCE U A MAN AND WIFE...??
acheni tabia mbaya,ntawasemea!
Mie nilifungishwa na wazee hawakusema hivyo wewe....halafu nyie ndo masnitcher wa kumwambia mke wangu baada ya UCHAKACHUAJI.....
A man still a man but a woman is a man's wife...
Mimi nakushauri kitu kimoja wewe Jjiulize angekuwa Mkeo anafanyiwa hivyo na baba mkwe wako i mean huyo wa rafiki yako wewe kama wewe ungejikiaje?
N amaanisha kwa heshima ya mkeo na miadi mliyofanya mbele za mungu kuwa utamheshimu nakushauri achana naye kabisaaaaaa Mlinde na mheshimu mkeo.
Ukisikia mkeo kamegwa utafanyaje wakati wewe wataka kumega nje?
We kweli shetani lile number one kabisa kwa hiyo nimsaliti mke wangu?
Aka nala mie nione ya huyu mama ikoje? Inaita au?Inatema au?
kula tigo hatarudia tena kukusumbuaMaria wewe soo nakula kila kona au sio...Zain to airtel kote nachakaza dah...nakunguta kote kote uani to sebuleni...
Mi nakushauri linda ndoa yako Mtu kuijipendekeza kwako basi usizani anatka kufanya mapenzi na wewe.
Jitahidini mlioko kwenye ndoa muweze kutuvuta na sisi tujifunze nini toka kwenu ?
Mie nilidhani ni mama wa mkeo kumbe ni rafiki!!!we jilie tu mpka tigo ni ruska!!!
inaonekana wewe ni unfaithful kwa mkeo! hujatosheka tu? kwa nini ulioa? ulitakiwa uoe ukishatosheka wanaolipa wako wengi mtaani, utawapitia wote?
Tanzania bila ya ukimwi haiwezekani!!!!!!!!
kula tigo hatarudia tena kukusumbua