Mama Magufuli uko wapi ujibu mapigo?

Mama Magufuli uko wapi ujibu mapigo?

Ile video inayosambaa yule jamaa akimnyosso ovyo sana. TCRA inabidi waingilie kati Aibu kwa vizazi vyake na ukoo mzima mama mtu mzima kama yule ANANYOSOLEWA LIVE. Aliyesambaza na aliyemnyoso mama
Yetu washtakiwe

Ashtakiwe kwa kosa lipi?????yule mchungaji aliyempiga dole ni bwana wake kila siku anajilia mzigo jamaa kajisahau tu kama yupo public basi itakuwa kazi basi kwa TCRA kila siku watashtaki watu kwa ujinga wao wenyewe mama mwenyewe hajutulia leo tena zimesambazwa picha zake anachana kanga za CCM mama ni mapepe ni kama changudoa fulani hivi akili sifuri anaitamani sana ikulu akili zote kaweka kwenye makalio mpaka anajisahau kama ni mama mtu mzima.
 
Jamani yule mama sio golikipa ana ajira yake, yuko anatumikia taifa.

Huyo wa kwenu kiguu na njia hadi kwenye vijiwe vya masela atakuja shikwa makalio bure.

Ajira ya kulipwa 240,000/- mbona mama salma alijitokeza
 
Magufuri keshawaambia yeye ni kazi tu . Mke wake ni mwalimu, na Tingatinga kaishasema hakuna cha u first lady ataendelea na Ajira yake ya kufundisha ambapo Baba yeye ni site tu , sio kwenda kulala lala Ikulu

Unamjua sundi au unakoroma tu kama bata maji?
 
siasa zisikufanye ujitoe ufahamu,kumbuka huyo mama unayemtukana matusi hayo hata wanaokupa hizo buku saba hapo lumumba wanamuheshimu

Ndio maana Lowassa anasema Elimu Elimu Elimu. Huyo jamaa hawezi kutukana mwanamke kiasi hicho. Mungu awasamehe hawajui watendalo!
 
Wewe ni mke wa mgombea wetu wa Urais,Dr. Magufuli. Unapaswa kuwa sambamba na Dr. Magufuli kama afanyavyo Regina Lowassa. Regina amezunguka nchini kupiga kampeni;anahojiwa na vyombo vya habari na kuandikwa.

Regina Lowassa anamwombea Lowassa na wagombea wa UKAWA kura. Anatamba na kupamba. U wapi Janeth Magufuli nawe ujibu mapigo? Jitokeze tafadhali hata kwa siku chache zilizobaki. Regina aweze ana nini na wewe ushindwe una nini?

Usikubali kushindwa na Regina Lowassa. Jibu mapigo na madoido!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Mama magufuli ni Mpole na mtulivu si mtu wa siasa kwa hiy yeyevni simba mwenda kimya yani mnasimama kwa majukwaa yeye anaomba kura kwa maombi anafunga na kuomba kwa ajili ya mumewe na nchi nzima ni mama mwenye hekima sana mtulivu sana saiz anaomba tu kwa Mungu Baba BwAna lazima atanjibu huyu mama mtulivu labisa mbele za Bwana.
 
Jamani yule mama sio golikipa ana ajira yake, yuko anatumikia taifa.

Huyo wa kwenu kiguu na njia hadi kwenye vijiwe vya masela atakuja shikwa makalio bure.

Mama Salma naye alikuwa akimpigia kampeni memb kila kona ya nchi na vjiwe vyote vya wastaarabu na masela! kwani alininiliuuu masabr yake?
 
Ashtakiwe kwa kosa lipi?????yule mchungaji aliyempiga dole ni bwana wake kila siku anajilia mzigo jamaa kajisahau tu kama yupo public basi itakuwa kazi basi kwa TCRA kila siku watashtaki watu kwa ujinga wao wenyewe mama mwenyewe hajutulia leo tena zimesambazwa picha zake anachana kanga za CCM mama ni mapepe ni kama changudoa fulani hivi akili sifuri anaitamani sana ikulu akili zote kaweka kwenye makalio mpaka anajisahau kama ni mama mtu mzima.

Mchungaji Gan Huyo, Na Ni Nan Huyo?
 
Wewe ni mke wa mgombea wetu wa Urais,Dr. Magufuli. Unapaswa kuwa sambamba na Dr. Magufuli kama afanyavyo Regina Lowassa. Regina amezunguka nchini kupiga kampeni;anahojiwa na vyombo vya habari na kuandikwa.

Regina Lowassa anamwombea Lowassa na wagombea wa UKAWA kura. Anatamba na kupamba. U wapi Janeth Magufuli nawe ujibu mapigo? Jitokeze tafadhali hata kwa siku chache zilizobaki. Regina aweze ana nini na wewe ushindwe una nini?

Usikubali kushindwa na Regina Lowassa. Jibu mapigo na madoido!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Tunachagua Rais wa Nchi na si familia, tianeni madole huko.
 
Back
Top Bottom