Mama Magufuli uko wapi ujibu mapigo?

Mama Magufuli uko wapi ujibu mapigo?

Hamna chochote mmeshamtia mama Regina Lowassa dole la tako mnamtafuta Janeth Magufuli nae mumtie dole la tako kama shida yako ni kiboga mtafute Regina ndio kazi yake akilewa tu kwisha habari yake unajilia mzigo kiulaini kabisa.
huyo mwalimu wa upe aliyekimbia mume kwa sababu ya ngozi ya mbele unamfananisha na learned lady mwenye Msc ya CED you must be joking
 
Huyu mama Fisadi ameishachanganyikiwa mbowe ameisha mfanya mtaji kachukua pesa zao lkn sio mbaya maana walituibia wamerudisha. Hata akaongelee bbc ataishia kuiona ikulu ileeeee. Ufisadi walioufanya mbona hauzungumziii, mshahara wa dhambi siku zote ni mauti. Tunasubiri 25 tumpeleke magufuri ikulu aanze na hao hao mafisadi. Tunamshukuru kwa kushiriki asikate tamaa akitoka hela 2030. Kura yangu ni kwa magufuri.
kwi kwi Mbowe kawafanyizia katikati ya makalio yenu mutatutakana mwaka huu hadi mukaukiwe mutajuta kumjua motto wa mjini DJ ngoma yake mumechezeshwa haswa KIkwete atatema fedhwaaa yote aliyotafuna bado kitambo kidogo tu
 
Mada ya kipuuzi hujibiwa kipuuzi. Mnamwitaje boya bila kuangalia upuuzi mwingi unaogusa ndoa ya Mh. Magufuli na watu wako kimya. Mashambulizi ya kiwango kilekile yakielekezwa upande wa pili mnalipuka. Ukitaka ustaarabu kuwa mstaarabu.
 
Mada ya kipuuzi hujibiwa kipuuzi. Mnamwitaje boya bila kuangalia upuuzi mwingi unaogusa ndoa ya Mh. Magufuli na watu wako kimya. Mashambulizi ya kiwango kilekile yakielekezwa upande wa pili mnalipuka. Ukitaka ustaarabu kuwa mstaarabu.

Kuna nyumbu hapo juu natamani aisomee hii post.
 
Wewe boya sana!

Mke Wa Magufuli hapendi mme wake awe Rais wewe unataka awe Rais. Hivi anayemjua Magufuli zaidi ni wewe au mke wake? Mama Magufuli ameonyesha ishara mme wake hastahili kuwa Rais wa nchi hii
 
Wewe ni mke wa mgombea wetu wa Urais,Dr. Magufuli. Unapaswa kuwa sambamba na Dr. Magufuli kama afanyavyo Regina Lowassa. Regina amezunguka nchini kupiga kampeni;anahojiwa na vyombo vya habari na kuandikwa.

Regina Lowassa anamwombea Lowassa na wagombea wa UKAWA kura. Anatamba na kupamba. U wapi Janeth Magufuli nawe ujibu mapigo? Jitokeze tafadhali hata kwa siku chache zilizobaki. Regina aweze ana nini na wewe ushindwe una nini?

Usikubali kushindwa na Regina Lowassa. Jibu mapigo na madoido!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam


Umeiona mitihani aliyokumbana nayo mwenzie baada ya kuonja Bia na Viroba?

Muache Magufuli ndiye anayetafuta kazi ya Urais asubiri kua first lady, nakumbuka Chiluba alipoingia madarakani mkewe alipelekwa kufundishwa jinsi ya kuishi kama first lady ingawa badae alimsaliti hii hampendi kusema
 
Wewe ni mke wa mgombea wetu wa Urais,Dr. Magufuli. Unapaswa kuwa sambamba na Dr. Magufuli kama afanyavyo Regina Lowassa. Regina amezunguka nchini kupiga kampeni;anahojiwa na vyombo vya habari na kuandikwa.

Regina Lowassa anamwombea Lowassa na wagombea wa UKAWA kura. Anatamba na kupamba. U wapi Janeth Magufuli nawe ujibu mapigo? Jitokeze tafadhali hata kwa siku chache zilizobaki. Regina aweze ana nini na wewe ushindwe una nini?

Usikubali kushindwa na Regina Lowassa. Jibu mapigo na madoido!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Ndo maana anapigwa nyosoo huyo last lady wenu#🔒
 
Wewe ni mke wa mgombea wetu wa Urais,Dr. Magufuli. Unapaswa kuwa sambamba na Dr. Magufuli kama afanyavyo Regina Lowassa. Regina amezunguka nchini kupiga kampeni;anahojiwa na vyombo vya habari na kuandikwa.

Regina Lowassa anamwombea Lowassa na wagombea wa UKAWA kura. Anatamba na kupamba. U wapi Janeth Magufuli nawe ujibu mapigo? Jitokeze tafadhali hata kwa siku chache zilizobaki. Regina aweze ana nini na wewe ushindwe una nini?

Usikubali kushindwa na Regina Lowassa. Jibu mapigo na madoido!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

mke wa magufuli kiatu cha u first lady sio saizi yake, pia kanuna aliposikia kimada kapewa nyumba
 
Wewe ni mke wa mgombea wetu wa Urais,Dr. Magufuli. Unapaswa kuwa sambamba na Dr. Magufuli kama afanyavyo Regina Lowassa. Regina amezunguka nchini kupiga kampeni;anahojiwa na vyombo vya habari na kuandikwa.

Regina Lowassa anamwombea Lowassa na wagombea wa UKAWA kura. Anatamba na kupamba. U wapi Janeth Magufuli nawe ujibu mapigo? Jitokeze tafadhali hata kwa siku chache zilizobaki. Regina aweze ana nini na wewe ushindwe una nini?

Usikubali kushindwa na Regina Lowassa. Jibu mapigo na madoido!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Regina Lowassa alitakiwa awe nyumbani akilea familia. Siasa za ukubwani hasa kwa mama kama yeye si nzuri. Mke wa Magufuli ana kariba ya mke bora, sio yule wa kwetu Baba Analala Manyara Mama analala Kyela. Heshima ya ndoa iangaliwe na itunzwe huo ndio utamaduni wetu wa mtanzania
 
Ile video inayosambaa yule jamaa akimnyosso ovyo sana. TCRA inabidi waingilie kati Aibu kwa vizazi vyake na ukoo mzima mama mtu mzima kama yule ANANYOSOLEWA LIVE. Aliyesambaza na aliyemnyoso mama
Yetu washtakiwe
 
Hamna chochote mmeshamtia mama Regina Lowassa dole la tako mnamtafuta Janeth Magufuli nae mumtie dole la tako kama shida yako ni kiboga mtafute Regina ndio kazi yake akilewa tu kwisha habari yake unajilia mzigo kiulaini kabisa.

siasa zisikufanye ujitoe ufahamu,kumbuka huyo mama unayemtukana matusi hayo hata wanaokupa hizo buku saba hapo lumumba wanamuheshimu
 
Wewe ni mke wa mgombea wetu wa Urais,Dr. Magufuli. Unapaswa kuwa sambamba na Dr. Magufuli kama afanyavyo Regina Lowassa. Regina amezunguka nchini kupiga kampeni;anahojiwa na vyombo vya habari na kuandikwa.

Regina Lowassa anamwombea Lowassa na wagombea wa UKAWA kura. Anatamba na kupamba. U wapi Janeth Magufuli nawe ujibu mapigo? Jitokeze tafadhali hata kwa siku chache zilizobaki. Regina aweze ana nini na wewe ushindwe una nini?

Usikubali kushindwa na Regina Lowassa. Jibu mapigo na madoido!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Hawezi labda sundi
 
Back
Top Bottom