awepo asiwepo ni superficial muhimu hotuba ya rais.Ulipaswa uwepo hapa Dodoma. Wewe sasa ni First Lady.Leo ilikuwa siku muhimu kwa Rais na kwako. Wakati wa kampeni ilikuwa sawa kutoambatana na Mh. Rais. Si wakati huu.
Ingependeza ungeambatana na Rais Magufuli kama wengine walivyofanya. Ulikuwa wapi? Yawezekana wanafunzi wako walikutinga leo? Nimekuulizia tu Mama!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Ulitaka Magufuli awe Pinda!? Endelea na kazi yako ya kukatikia kichwa cha chini hapo. Achana na siasa.
Wanasiasa wenyw wakitoka bungeni wanaenda kukatika na kukatikiwa!!! Ww mwenzetu huna wa kukupa hayo mambo???? Au ndo Shemale??? Maana unabwabwaja humu ndani eti una kazi ya kuifanyia taifa nyoooo!!!!Toka lini taifa likahitaji Kimada kama ww Hamada????Tatzo lako ni ww nyege tu na point yako kubwa kupumuliwa kisogoni!!!! Hamida kapumguze hzo nyege mwisho wa cku utakuja miguu imelegeaaa na kuchekacheka ovyo humu ndani!!!! Na ujifunze tofaut ya mwanasiasa na mpenda siasa!!! Mimi na ww tunapenda siasa ila c wanasiasa acha kujifanya unajua kila kitu!!!!!!!!
Mimi najikita kwenye mambo mazito ya nchi. Tuna changamoto nyingi nchini. Sasa siwezi kuwa sawasawa na nyinyi wendawazimu na wanywa viroba ambao kazi yenu ni kujadili vitu vidogo vidogo na visivyo na tija kwa taifa.
Endeleeni kujadili kuhusu mke wa rais...mimi na wenye akili wenzangu tunajadili changamoto za nchi na namna ya kuzitatua. Ndio maana wananchi wanatupa ridhaa ya kuongoza nchi.
Mwk Nyerere wakati anazindua Bunge 1962 na wakati anaaga 1985 Mama Maria hakuwepo Bungeni acheni mambo yasiyo ya msingi kufanya ya Msingi, Moja ya mambo aliyokuwa analaumiwa Jk ni kumpeleka mbele mkewe kwenye masuala ya kitaifa
maneno mazito sana hawa. Mkuu mzalendo15 unajua kwa wengine kushika Biblia au Koran kuapa ni kitu kikubwa na kinamaanisha kuapa kweli!Mama yupo katika wakati mgumu sana juu ya mumewake. Hasa ukizingatia ni mcha mungu. Anafikiria changamoto aliyonayo mume wake hasa kwakukabidhiwa mzoga wa chama. Na hasa akifikiria wazi kwamba chama hicho hakikushinda kihalali kwa hiyo imeshaondoa iadilifu na utakatifu wa chombo hiki. Anapata kazi sana kujumuika na mafisadi nguli ambao wapo tayari kumwaga damu wakingangania madaraka.
Mwk Nyerere wakati anazindua Bunge 1962 na wakati anaaga 1985 Mama Maria hakuwepo Bungeni acheni mambo yasiyo ya msingi kufanya ya Msingi, Moja ya mambo aliyokuwa analaumiwa Jk ni kumpeleka mbele mkewe kwenye masuala ya kitaifa
Hufahamu kama familia ya Rais Magufuli imepoteza Mjukuu.Ulipaswa uwepo hapa Dodoma. Wewe sasa ni First Lady.Leo ilikuwa siku muhimu kwa Rais na kwako. Wakati wa kampeni ilikuwa sawa kutoambatana na Mh. Rais. Si wakati huu.
Ingependeza ungeambatana na Rais Magufuli kama wengine walivyofanya. Ulikuwa wapi? Yawezekana wanafunzi wako walikutinga leo? Nimekuulizia tu Mama!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Familia ya Rais Magufuli bado wako kwenye msiba kijijini.Namfananisha magufuli na nyerere.hata watoto wake sijawaona hapa leo.angekuwa mtani wangu jakaya leo msoga yote ingehamia dodoma.