Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,182
Honestly,Nampongeza Mama Janneth Magufuli kwa maneno mazito aliyoongea katika hotuba yake kwenye Ziara ya huko Ruangwa alipowahutubia wazee.Mwenyezi Mungu amuepushe na busara hewa na akili za Mwendokasi.
Ametoa hotuba ya kinyenyekevu na ya busara kuhusu umuhimu na mchango wa wazee kwa Taifa hili.
Nimeona pia misaada aliyotoa kwa Wazee.
Ni juzi tu Rais Magufuli alitoa lugha isiyofaa kuhusu wazee kuwa ni wala rushwa hivyo anataka vijana.Wengine tulilaani na kukemea kauli hii ya kibaguzi kabisa kabisa bila kutafuna maneno kuwa the statement was uncalled for,reckless and disguisting !
Sasa Hili la Mama huyu mnyenyekevu mwenyebusara Jane, limenikumbusha jambo moja tu kwenye biblia Kitabu cha 1 Samuel 25 juu ya Mwanamke mmoja mrembo sana na Mwenye Busara,mnyenyekevu na mwenye Upendo wa hali ya juu na Hofu ya Mungu .
Huyu ni Abigail aliyekuwa mke wa Nabal.
Abigaili aliepusha mume na familia au himaya yake kuingia katika matatizo baada ya mumewe aliyekuwa hajali na mwenye kiburi na dhihaka kuingia katika mgogoro na Daudi aliyewasaidia na kuwatunza vijana wake wachunga mifugo nyikani wakiwa na uhitaji lakini baadae Daudi alipopata shida na kuomba msaada kwa Nabali akajibiwa majibu ya ovyo,dharau na Nabali .Suala hili lilimkasirisha sana sana Daudi na kutuma jeshi lake la watu 400 kwenda kumuulia mbali Nabali na kuteketezea mbali himaya yake
Abigaili alipogundua kuwa Nabali katoa lugha chafu kwa Daudi basi akawaomba wajakazi wake wafunge vyakula na vinywaji na kuwapindisha juu ya Punda.Njiani akakutana na Daudi na Jeshi lake na Kuinama chini kwa Unyenyekevu mbele ya Daudi na kuomba radhi na kuinusuru familia yake na Mumewe ingawa Mungu alikuja kumuadhibu Mumewe
Naendelea kuasa wanasiasa vijana ambao hawajao ,tumuombe Mungu sana atupe Abigaili wetu lakini vilevile atuepushe na tabia za Nabali.
Ubarikiwe sana Mama Jannet kwa hili la leo.
Methali 9:10 inatuasa kumcha Mungu ndio chanzo cha busara na Maarifa.
Barikiwa sana Mama
Aluta Continua,Victory Ascerta....
Ben Saanane
Ametoa hotuba ya kinyenyekevu na ya busara kuhusu umuhimu na mchango wa wazee kwa Taifa hili.
Nimeona pia misaada aliyotoa kwa Wazee.
Ni juzi tu Rais Magufuli alitoa lugha isiyofaa kuhusu wazee kuwa ni wala rushwa hivyo anataka vijana.Wengine tulilaani na kukemea kauli hii ya kibaguzi kabisa kabisa bila kutafuna maneno kuwa the statement was uncalled for,reckless and disguisting !
Sasa Hili la Mama huyu mnyenyekevu mwenyebusara Jane, limenikumbusha jambo moja tu kwenye biblia Kitabu cha 1 Samuel 25 juu ya Mwanamke mmoja mrembo sana na Mwenye Busara,mnyenyekevu na mwenye Upendo wa hali ya juu na Hofu ya Mungu .
Huyu ni Abigail aliyekuwa mke wa Nabal.
Abigaili aliepusha mume na familia au himaya yake kuingia katika matatizo baada ya mumewe aliyekuwa hajali na mwenye kiburi na dhihaka kuingia katika mgogoro na Daudi aliyewasaidia na kuwatunza vijana wake wachunga mifugo nyikani wakiwa na uhitaji lakini baadae Daudi alipopata shida na kuomba msaada kwa Nabali akajibiwa majibu ya ovyo,dharau na Nabali .Suala hili lilimkasirisha sana sana Daudi na kutuma jeshi lake la watu 400 kwenda kumuulia mbali Nabali na kuteketezea mbali himaya yake
Abigaili alipogundua kuwa Nabali katoa lugha chafu kwa Daudi basi akawaomba wajakazi wake wafunge vyakula na vinywaji na kuwapindisha juu ya Punda.Njiani akakutana na Daudi na Jeshi lake na Kuinama chini kwa Unyenyekevu mbele ya Daudi na kuomba radhi na kuinusuru familia yake na Mumewe ingawa Mungu alikuja kumuadhibu Mumewe
Naendelea kuasa wanasiasa vijana ambao hawajao ,tumuombe Mungu sana atupe Abigaili wetu lakini vilevile atuepushe na tabia za Nabali.
Ubarikiwe sana Mama Jannet kwa hili la leo.
Methali 9:10 inatuasa kumcha Mungu ndio chanzo cha busara na Maarifa.
Barikiwa sana Mama
Aluta Continua,Victory Ascerta....
Ben Saanane