Mama kuwa mstaarabu huyo ni mama wa mjukuu wako.


Huyu mama mwanawe hawezi kuoa hata siku mojaa!!ana wivu mnooo kwa kijana wake!
Hafai hata kidogooo!!yaani mwanamke wa kumuoa Diamond ajipange haswaaMama mkwe hataki kuchemshwa wala kuungwa mchuziHuyu mama mwanawe hawezi kuoa hata siku mojaa!!ana wivu mnooo kwa kijana wake!
Nakumbuka Wema alishasimuliaga alikua akilala na diamond kipindi wako Sinzaa mama alfajir anaenda kumgongea mwanawe kila siku saa ingine usiku wa manane!
![]()
![]()
Hafai hata kidogooo!!yaani mwanamke wa kumuoa Diamond ajipange haswaa
Nilitaka kusema atafute bwana kumbe anae. Diamond nae anayapenda lakini. Kwanini aishi na mama ake nyumba moja?Huyu mama mwanawe hawezi kuoa hata siku mojaa!!ana wivu mnooo kwa kijana wake!
Nakumbuka Wema alishasimuliaga alikua akilala na diamond kipindi wako Sinzaa mama alfajir anaenda kumgongea mwanawe kila siku saa ingine usiku wa manane!
![]()
![]()
Hafai hata kidogooo!!yaani mwanamke wa kumuoa Diamond ajipange haswaa
Ana hila balaa!anahisi Diamond akioa atapoteza haki zote hata hvyo Zari amejitahidi mnoo kuishi nae, maana mpango wa Hamisa stering Bi.Sandra ukitaka kujua unafiki wake kwa nini alimkaribisha kwake akakaa nae huku dai yuko na Zari?!!huyu mama kila mwanamke wa mwanawe atakua mbayaaMama mkwe hataki kuchemshwa wala kuungwa mchuzi
Nilitaka kusema atafute bwana kumbe anae. Diamond nae anayapenda lakini. Kwanini aishi na mama ake nyumba moja?
bwana anakaa nae kwa mwanawe!Mama mobeto mtoe....yule mama mstarabu sana! Ni vile tu kitoto chake hakijielewi!Mama Diamond, Mama Mobeto na mama Kanumba wamama wapenda kiki
Mama mobeto mtoe....yule mama mstarabu sana! Ni vile tu kitoto chake hakijielewi!

Isije kuwa domo na mamaake wanaka...z...na...hii stori huku sinza mori inavuma mnooo![]()
![]()
![]()
bwana anakaa nae kwa mwanawe!
Mama hawezi kukubali daimond akae mbali naye
Ana wivu
Umeona eeehh!maana bimkubwa hatumuelewi...iweje kila mkaza mwanawe awe mbayaawIsije kuwa domo na mamaake wanaka...z...na...hii stori huku sinza mori inavuma mnoooi
Jiulize....waganga wabaya sana! Ona mama mtu kanogewa!Umeona eeehh!maana bimkubwa hatumuelewi...iweje kila mkaza mwanawe awe mbayaaw
Jiulize....waganga wabaya sana! Ona mama mtu kanogewa!
jamanii mwisho hataki wakwee na kijana nae kachoka sasaa anataka mtu wa kutulia nae!Safi Sana yeye si alimuitia shilawadu chapa Kabisa tumakofi Kwenye tukalio twake shwain
hDomo anataka kijana mwenzake, huyu bibi vepeee?![]()
![]()
![]()
![]()
jamanii mwisho hataki wakwee na kijana nae kachoka sasaa anataka mtu wa kutulia nae!
Hata asiwe mobeto yoyote yule