Mama bila Baba asingeitwa mama

Mama bila Baba asingeitwa mama

Kibwetelo

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2018
Posts
732
Reaction score
602
Wakuu habari natumai muwazuma wa afya

Nimekuta hii kitu inataka kutake over kila sehemu kila siku eti mama ni mama jaman sote tunajua mama bila baba asingeitwa mama. Ila nakuta siku hizi mama amekua special kuliko baba wakati wote wanaumuhim.

Baba naye anaumuhimu wake sio mama tu wote wapewe heshima zao

Mchana Mwema wakuu.
 
Wanaubiri haki sawa mdomoni mwao ila matendo wanajipa kipaumbele wao zaidi. Utasikia haki ya mtoto wakike kwani wakiume sio mtoto?
 
Mwanaume ni jeshi linalojitegemea, bila promo yoyote tuko mbele mpaka mwisho wa dahari.

Chama cha wanahabari wanawake, cha wanasheria wanawake, UWT nk tunaangalia tu.

Hakuna mwanadamu atabadirisha mipango ya Mungu kamwe!!
 
Mwanaume ni jeshi linalojitegemea, bila promo yoyote tuko mbele mpaka mwisho wa dahari.

Chama cha wanahabari wanawake, cha wanasheria wanawake, UWT nk tunaangalia tu.

Hakuna mwanadamu atabadirisha mipango ya Mungu kamwe!!
Kabisa mkuuu
 
Mwanaume ni jeshi linalojitegemea, bila promo yoyote tuko mbele mpaka mwisho wa dahari.

Chama cha wanahabari wanawake, cha wanasheria wanawake, UWT nk tunaangalia tu.

Hakuna mwanadamu atabadirisha mipango ya Mungu kamwe!!
ongeza na chama cha madaktari wanawake, makanisani nako kuna wwk wanajiita jeshi kubwa, huwezi kusikia chama cha wanaume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom