fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,606
- 8,269
Anaupiga mwingi sana, kwakuwa hamna macho hamuoniNeno ‘mama’ lina maana kubwa maishani mwakila mmoja wetu. Ninapotamka ama kusikia neno mama mawazo yangu yanazama kwenye fikiria za matumaini, Faraja,huruma na upendo wa dhati usikuwa na kipimo kutoka kwa mama...
Hatupigii kura taasisi bali MTU......Rais ni mtu.
Nikisoma michango ya Jamhuri ya JF napata taabu, nashindwa kuwaelewa mifumo ya akili ya wapinzani: Walitegemea Samia ata wapenda upinzani kwa kitu gani? Umpende adui yako ili iweje? Taabu sana uchague kuwa upinzani kwa hiari yako halafu ulilie upendo wa watawala unao wapinga.Chombo pekee cha kuamua kama kina Mbowe ni Gaidi au laa ni Mahakama wala sio Rais. Rais hana mamlka ya kuhukumu mtu isipokuwa Mahakama pekee
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisa ndugu, lakini wapinzani sio maadui au rebels lakini watawala wana wa chukulia kama maadui wakubwa wa taifa.Nikitoka Jamhuri ya JF napata taabu Nashindwa kuelewa mifumo yaa akili ya wapinzani: Walitegemea Samia ata wapenda upinzani kwa kitu gani? Umpendde adui yako ili iweje? Taaba sana uchague kuwa upinzani halafu ulilie upendo wa watawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafahamu sana kuwa sio madui wote japo baadhi ni magaidi.Uko sahihi kabisa ndugu, lakini wapinzani sio maadui au rebels lakini watawala wana wa chukulia kama maadui wakubwa wa taifa.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Well spoken [emoji120]Wanafahamu sana kuwa sio madui wote japo baadhi ni magaidi.
In politics you either have a course to rally your file members or you have to create one to rally your troops.
They must tell CCM members all epithets to hate you for vote. CCM rank and file will never praise you and ask voters not to vote you in. The reverse is true.
You must be branded with a worst tag that a humam beign can hardly survive with.
Give a chance to a poisonous snake to mix with, but never a Chadema member.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaupiga mwingi kurudisha golini kwake.Ule mwingi umeanza kutiwa ndimu.. Soon utakuwa mgwadu
Kila mtu anajua hivyoSSH ni mama mwenye dhamana ya u Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Kwa katiba yetu hakuna anayeweza kumzuia kupiga kaziMama yupo vizuri acheni apige kazi.
Rais ni mtu sio taasisi, Spika ni mtu sio taasisi, jaji mkuu ni mtu sio taasisi.
Sikatai kuwa Rais ni mtu lakini kufanya kazi kwake kunategemea sana watu wanao mzunguka.Rais ni mtu sio taasisi, Spika ni mtu sio taasisi, jaji mkuu ni mtu sio taasisi.
Katiba ina mlinda kufanya hivyo.Kwa katiba yetu hakuna anayeweza kumzuia kupiga kazi
Hata kama viatu avitoshi.Hatukati kabisa katika hilo na tunaheshimu kitu cha urais haijalishi yupo Mwanamke au Mwanaume.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji1787]Mama anaupiga mwingi hadi umemwagika nje ya safuria.