Duh! Tusiosoma tuna tabu
itakuwa mwizi hazai au ametumwa na mtu asiyezaa,, atamlea vizuri tu.
Unadhani waliotengeneza hicho kifaa ni wajinga kwamba mtu yeyote yule anaweza kukichomoa kirahisi, ingekua hivo kingekua na kazi gani sasa..... Alafu notice sijalaumu CCM, sina neno CCM kwenye sentensi yangu, mi shida yangu ipo na tanzania nzima, sio CCM sio Kuku sio bata doesn't matter, tumeshindwa kuhandle every sectorhapa hakuna cha umaskini wala ccm maana mmekalili kila kitu ccm
Huyu ni mjinga mwenyewe kaenda kununuliwa sweta anapenda burebure angekitoa hiko kifaa akatoka nae nje kimya kmya
Hapo walipochukua bodaboda ndo pa kuanzia,aliyembeba yule mama mwizi atasema wapi alimshusha.
Huyu mama sijui ni ujinga au ni umri mdogo aliokua nao, sasa unamwachaje mtu anambeba mwanao kwenye bodaboda tofauti na uliyopanda wewe, na mtu huyo wala humjui.