fikirini
Senior Member
- May 24, 2011
- 114
- 22
Wana UDOM wanajadili juu ya suala la uwekezaji katika elimu hapa tz, naona Dr Lwaitama nae yupo ndani ya studio
Ila sasa Udom wanatoa hoja nyingi wakihusisha matatizo yao ya kutokwenda mafunzo kwa vitendo, lakini hapa dhana ya kuwekeza ni pana sana. ila poleni sana wana udom yaani wanafunzi elfu 4 wanatumia kompyuta 20 tu! hii ndo serikali ya ccm bwana.(kila kompyuta 1 wanafunzi 200)
Ila sasa Udom wanatoa hoja nyingi wakihusisha matatizo yao ya kutokwenda mafunzo kwa vitendo, lakini hapa dhana ya kuwekeza ni pana sana. ila poleni sana wana udom yaani wanafunzi elfu 4 wanatumia kompyuta 20 tu! hii ndo serikali ya ccm bwana.(kila kompyuta 1 wanafunzi 200)