Angalia hata taarifa za serikaliWatanzania tu wagumu sana kuelewa...yani ni mwezi sasa unakwenda bado jambo hilo watu hawajaelewa....hahahah eti jiji limevunjwa! Kwani hilo jiji wanaosema limevunjwa lilikuwa linaanzia wapi na kuishia wapi? Hahahaha yani hili swala la jiji ndio linashihirisha uwezo wetu wakuelewa mambo!
Yani hadi huyo mchungaji anajua jiji limevunjwa hahahahaha! Yani watu hadi leo wameshindwa kujua kilichovunjwa!
1. Jiji la ilala
2. Manispaa ya kinondoni
3. Manispaa ya temeke
4. Manispaa ya ubungo
5. Manispaa ya kigamboni
Kwahiyo jiji ni ilala tu.
Wewe umeelewaje labda?