Ernie JF-Expert Member Aug 3, 2010 217 23 Nov 6, 2012 #1 Ujinga ni...........! Kupenga makamasi kwa mkono, kujipangusia kwenye suruali kisha kusalimia mtu bila kunawa mikono
Ujinga ni...........! Kupenga makamasi kwa mkono, kujipangusia kwenye suruali kisha kusalimia mtu bila kunawa mikono
M MR. ABLE JF-Expert Member Apr 6, 2012 1,480 944 Nov 6, 2012 #2 ujinga ni kufa wakati unahela mfukoni.